TRA hawaoneshi bei ya gari wanaonesha ushuru wa TRA pasipo kuweka ushuru wa shipping line and TPA.Hivi kwa mfano unataka gari aina flani, ukaingia kwenye mtandao ukauliza bei kwa kutumia TRA CALCULATOR, zile gharama zinazokuja kwa jumla ndo bei ya hyo gari au baada ya zile gharama wanazozitoa pale kuna zingine!? Kwa wazoefu wa tra calculator please!