Mwenye CV ya Saed Kubenea anisaidie

Kubenea bonge la msaada kwa wala wanao elewa mwelekeo wa nchi iliko kuwa ina elekea hasa mtu kama huyu anahitaji kuungwa mkono na kila mpenda haki ila kwa wale walio zoea maisha ya kitapeli na kuhujumu uchumi wanchi wana kasirika na kuuliza CV
 
Chadema cv zao nyingi ni chovu... Sijui kwa nini!!! Nyingi ni za kuunga unga... Kuna watu cv zao na umri wao ni tofauti...
 
Kuna Saed Kubenea tulikuwanaye JKT, lakini siyo huyu mbunge. Baadaye nikaambiwa huyo (wa JKT) ni mdogo mtu. Vyeti hivi vinaleta mambo tusubiri wenye uhakika na hili waje!

funguka zaidi mkuu.
 
ni kosa kubwa sana kuuliza CV kwa mwana ukawa yoyote huwezi pata maana shule hawajaenda kivile.
 
Conclusion: Hakuna anayemfahamu kubenea kwa elimu na uzoefu wake wa kazi!Hivi hayumo humu??@kubenea vipi Ben Saanane hawezi kutusaidia??au tumuite msemaji wa chadema let say Chademakwanza ???
 
Last edited by a moderator:
Aje mwenyewe!!mbona Mh Mnyika anakuja kujibu mwenyewe
 
Wewe si Mwana Ubungo na kama ni mwana Ubungo basi ni bonge moja la kilaza.
 
Kubenea shule ilimpita kushoto sana anaweza umbea tu wala siyo jambo jingine.
 
Mwanakubenea mambo mengi umepatia lakini hujaelezea kisa cha kumwagiwa tindikali na kupatiwa matibabu huko India kwa msaada wa Rais JK Serikali kugharimia matibabu ya Kubenea – Bongo5.com
na hakusomea Afrika kusini hiyo kozi yake
umenifurahusha kwani post yako ya kwanza unaingia na ID hiyo
Mwanakubenea



Join Date : 16th December 2015
Posts : 1
Rep Power : 0
 
juzi juzi (last year or 2013) amekuwa akiandika akiwa netherlands chuo fulani hivi. nadhani huyu jamaa ana shule kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…