MWENGE wawafanyia 'mbaya' WALIMU...

MWENGE wawafanyia 'mbaya' WALIMU...

nyinyi si amjui kugoma mnafikiri haki inapatikana kiraisi raisi ! mtanyonywa mpaka damu....na bado
 
98% ya waalimu ni wanachama hai wa CCM. Wanakichangia chama chao nyie kelele za nini?.
 
ndio mathala ya kuchakachua vyeti hiyo wanaujua udhaifu wao ndo mana wanawafanya watakavyo?? Wakilalamika tu nakutishia kugoma serikali nao inatishia kufanya ukaguzi wa vyeti vyao basi wao wenyewe wananywea kimyaaa na kulainika kama mlenda??
 
Anayetukana walimu ni mshenzi,mjinga na hana adabu!
 
Walimu hawatukanwi hapa. Wanaambiwa wazinduke tu toka kwenye usingizi wa uonevu...
 
Kwa walimu waache tu wakatwe, tena hata zingekuwa zaidi ya hizo, ni haki yao tu. Maana hakuna watu mambumbu kama walimu Tanzania. Yaani hii ni kada ya wafanyakazi wa serikali wasiojua haki zao wala stahili zao halali. Ni watu wanaoonewa kunyanyaswa na kudharauliwa na serikali kupindukia lakini ndiyo wa kwanza pia kujipendekeza serikalini. Ukiwaambia tugome hawataki, tulikubaliana mwaka 2010, tugome kuandikisha na kusimamia uchaguzi, kuja kushitukia ndiyo kwanza baadhi ya walimu wamekwenda kuomba kabisa. Yaani walimu ni headache katika nchi hii. Acha tuumie tu, pengine siku moja tutaamka usingizini na kuelewa ni nini tunachokistahili.

JIBU LA YOTE NI HILI: Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala (According to wewe (@Lukolo)
 
ndio mathala ya kuchakachua vyeti hiyo wanaujua udhaifu wao ndo mana wanawafanya watakavyo?? Wakilalamika tu nakutishia kugoma serikali nao inatishia kufanya ukaguzi wa vyeti vyao basi wao wenyewe wananywea kimyaaa na kulainika kama mlenda??

hilo ndio jibu LEGE hasa hawa walioingia kwa division za iv point 30 wanashida sana na wengine vyeti vya ndugu zao, ukiingia kwa njia ya panya kiukweli hata kutetea haki yako itakuwa ngumu
 
Last edited by a moderator:
waaaalimu ndio huchukua asilimia kama 40 ya wasimamize wa uchaguzi na hushiriki kuchakachua matokeo na tume ngoja kiwakute
 
Poleni sana walimu naomba muwe na moyo huo huo .hakika mtashinda vumilia mpaka mwisho.
 
Sababu walimu ni DHAIFU! hawajijali! Acha wakomeshwe washike adabu, walijua mashati na kanga za kijani ni bure, acha walipe sasa.

Na huo ndiyo ukweli tutathibitisha hili siku chache zijazo watakapoukimbia mgomo walioitisha kwa nguvu nyingi
 
Kweli walimu tunadharauliwa sbu ya kulipwa mishahara duni,serikali wahurumie waongezee kipato.
 
Kweli walimu tunadharauliwa sbu ya kulipwa mishahara duni,serikali wahurumie waongezee kipato.

Ukila lazima na wewe uliwe,si mnakulaga za kuchakachua kura,za sensa,hivyo mmechangia hicho kidogo ili muendelee kula,sasa unafikiri wangemkata nani hizo fedha?kila mtu kesha shtuka bado nyie tu.
 
Back
Top Bottom