Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,937
- 1,192
foooolish government!
Do you think that is enough to express what you have
foooolish government!
Nimekusoma Mkuu Paul Kijoka. Lakini,hakuna walimu wapinzani wanaoweza kuanzisha vuguvugu la mabadiliko?[/QUOTE]
Watoke wapi mkuu watu wenyewe waoga ka Kunguru?
Kwa walimu waache tu wakatwe, tena hata zingekuwa zaidi ya hizo, ni haki yao tu. Maana hakuna watu mambumbu kama walimu Tanzania. Yaani hii ni kada ya wafanyakazi wa serikali wasiojua haki zao wala stahili zao halali. Ni watu wanaoonewa kunyanyaswa na kudharauliwa na serikali kupindukia lakini ndiyo wa kwanza pia kujipendekeza serikalini. Ukiwaambia tugome hawataki, tulikubaliana mwaka 2010, tugome kuandikisha na kusimamia uchaguzi, kuja kushitukia ndiyo kwanza baadhi ya walimu wamekwenda kuomba kabisa. Yaani walimu ni headache katika nchi hii. Acha tuumie tu, pengine siku moja tutaamka usingizini na kuelewa ni nini tunachokistahili.
ndio mathala ya kuchakachua vyeti hiyo wanaujua udhaifu wao ndo mana wanawafanya watakavyo?? Wakilalamika tu nakutishia kugoma serikali nao inatishia kufanya ukaguzi wa vyeti vyao basi wao wenyewe wananywea kimyaaa na kulainika kama mlenda??
mkuu umesahau kashindye wa igunga si alikua mwalimu yuleNimekusoma Mkuu Paul Kijoka. Lakini,hakuna walimu wapinzani wanaoweza kuanzisha vuguvugu la mabadiliko?
Sababu walimu ni DHAIFU! hawajijali! Acha wakomeshwe washike adabu, walijua mashati na kanga za kijani ni bure, acha walipe sasa.
Anayetukana walimu ni mshenzi,mjinga na hana adabu!
Tena ni kilaza, mbumbumbu, uncultured, uncircumcised, undercultivated, etc.
Kweli walimu tunadharauliwa sbu ya kulipwa mishahara duni,serikali wahurumie waongezee kipato.