Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

namkubali sana kaka yangu zembwela ila kwa hili yupo wrong na hao waliovunja..,.mnajua madhara yake, ngojeni roba za mbao, kuibiwa visim vyenu
Nanyie subirini kuona tutakavyo wachoma moto hao jamaa zenu wezi mnao waabudu kama vile wana ngozi za chuma hawaumii!
 
wakiweza kuwaondoa mazima ntafurahi, kwann wanawatoa wakati stend yenyewe inahama?
 
Hill zoezi huwa linakwamishwa na baadhi ya viongozi wa mtaa kwani huchukua kitu kidogo kutoka Kwa wafanyabiashara hao.nenda pale Tabata KIMANGA kila kiongozi anameza yake yakuchukua posho
 
Pongezi kwa zembwela.Ila mamlaka husika ni mpaka redio zipaze sauti ndio majukumu yenu mtekeleze? je Hao wakirudi tumpelekee malalamiko zembwela?Sio siri utendaji wa namna hiyo ni wa kishenzi.
 
eti wewe ndo umefanya juhudi hadi vibanda vingi mwenge vimevunjwa kupitia kipindi chako cha SUPERMIX....unapofanya kitu chochote lazima uangalie hasara na faida kama hasara ni kubwa kuliko faida huna budi kuacha....jiulize hawa watu na vibanda vyao walivyokua walikua wanatupunguzia nini na wameondoka tutaongezekewa na nini na wataenda wapi!....WENGI MTANIPINGA ILA HUU NDIO UKWELI ZEMBWELA HAYUPO SAHIHI KWA KUSUPPORT HILI.......kama kweli ni mchakarikaji afuatilie kesi za mafisadi na zingne zinazohusu wizi wa meno ya tembo na wanyama wengne unaofanywa na mafisadi AFUATILIE WAPELEKWE MAHAKAMANI NA ATULETEE FEEDBACK KUA WAMEFUNGWA NA SI KUHANGAIKA NA WATU KAMA WAMACHINGA WANAOKULA KWA JASHO LAO...
 
Mji lazima ujengwe kwa kuzingatia mipango, si vibanda kuota kama uyoga tu.

Kama walijenga kwa vibali na ruhusa zote za mamlaka na wafungue kesi kudai haki zao.
 
Mji lazima ujengwe kwa kuzingatia mipango, si vibanda kuota kama uyoga tu.

Kama walijenga kwa vibali na ruhusa zote za mamlaka na wafungue kesi kudai haki zao.

kwani hivyo vibanda vimeshuka toka mbinguni gafla kama malaika? Wakati wanaanza kujenga serikali ilikua wapi hadi vimejaa ndio wanataka kuwasumbua...TUMIA AKILI UNAPO COMMENT KWENYE THREAD YANGU USIKURUPUKE KAMA UMEFUMANIWA......
 
Hivi, mpaka hao watu wakajenga hivyo vibanda na kuanza kuendesha shughuli zao hapo, wahusika wenye dhamana na mamlaka walikuwa wapi?

Manake kilichotokea ni kuadhibu watu kwa makosa na uzembe wa wengine. Siyo haki hata kidogo.
 
Hvi wamevunja kweli,ntasagula wapiii mie viwalo..
 
kwani hivyo vibanda vimeshuka toka mbinguni gafla kama malaika? Wakati wanaanza kujenga serikali ilikua wapi hadi vimejaa ndio wanataka kuwasumbua...TUMIA AKILI UNAPO COMMENT KWENYE THREAD YANGU USIKURUPUKE KAMA UMEFUMANIWA......

Wapi nimesema Tanzania tuna serikali?

Kwamba Tanzania hakuna serikali hakuondoi ukweli kwamba kujenga holela ni vibaya na hakuteteeki.

Two wrongs do not make a right.

Nani kakurupuka sasa?
 
si busara kwanin hatuna huruma na wadundulizaji wa maisha jamani!!!
 
eti wewe ndo umefanya juhudi hadi vibanda vingi mwenge vimevunjwa kupitia kipindi chako cha SUPERMIX....unapofanya kitu chochote lazima uangalie hasara na faida kama hasara ni kubwa kuliko faida huna budi kuacha....jiulize hawa watu na vibanda vyao walivyokua walikua wanatupunguzia nini na wameondoka tutaongezekewa na nini na wataenda wapi!....WENGI MTANIPINGA ILA HUU NDIO UKWELI ZEMBWELA HAYUPO SAHIHI KWA KUSUPPORT HILI.......kama kweli ni mchakarikaji afuatilie kesi za mafisadi na zingne zinazohusu wizi wa meno ya tembo na wanyama wengne unaofanywa na mafisadi AFUATILIE WAPELEKWE MAHAKAMANI NA ATULETEE FEEDBACK KUA WAMEFUNGWA NA SI KUHANGAIKA NA WATU KAMA WAMACHINGA WANAOKULA KWA JASHO LAO...

Zembwela sio mhusika mkuu wa matokeo hayo, mipango ya serikali ni kwamba muda wowote kuanzia sasa kituo cha mwenge kinahamia makumbusho.
 
Na sidhani kama Zembwela ana Diploma au Shahada ya uandishi wa habari lakini ni mtendaji kuliko hao wenye ma vyeti
Wenye mavyeti wabajua kubana sauticna kuuza mbunye tu
 
kwani hivyo vibanda vimeshuka toka mbinguni gafla kama malaika? Wakati wanaanza kujenga serikali ilikua wapi hadi vimejaa ndio wanataka kuwasumbua...TUMIA AKILI UNAPO COMMENT KWENYE THREAD YANGU USIKURUPUKE KAMA UMEFUMANIWA......
Hivi, mpaka hao watu wakajenga hivyo vibanda na kuanza kuendesha shughuli zao hapo, wahusika wenye dhamana na mamlaka walikuwa wapi?

Manake kilichotokea ni kuadhibu watu kwa makosa na uzembe wa wengine. Siyo haki hata kidogo.
Kosa moja halihalalishi kufanyika kwa kosa jingine. Kama mamlaka za Jiji zilizembea kuzuia ujenzi holela, hilo ni kosa, lakini haina maana kwamba mtu mwingine ana ruhusa ya kufanya kosa la kujenga bila utaratibu!
 
Wapi nimesema Tanzania tuna serikali?

Kwamba Tanzania hakuna serikali hakuondoi ukweli kwamba kujenga holela ni vibaya na hakuteteeki.

Two wrongs do not make a right.

Nani kakurupuka sasa?

si umesema mji lazima ujengwe kwa kuzingatia mipango, na wao wawe wamepata vibali kutoka kwa mamlaka husika..,hao watoa vibali na mamlaka husika au wanaohusika na mipango miji ni nani kama sio SERIKALI?....USIWE KICHWA MAJI yani kama tz tuna mijitu mingi isiyofikiria kama wewe itachukua mda mrefu sana hadi kuendelea
 
eti wewe ndo umefanya juhudi hadi vibanda vingi mwenge vimevunjwa kupitia kipindi chako cha SUPERMIX....unapofanya kitu chochote lazima uangalie hasara na faida kama hasara ni kubwa kuliko faida huna budi kuacha....jiulize hawa watu na vibanda vyao walivyokua walikua wanatupunguzia nini na wameondoka tutaongezekewa na nini na wataenda wapi!....WENGI MTANIPINGA ILA HUU NDIO UKWELI ZEMBWELA HAYUPO SAHIHI KWA KUSUPPORT HILI.......kama kweli ni mchakarikaji afuatilie kesi za mafisadi na zingne zinazohusu wizi wa meno ya tembo na wanyama wengne unaofanywa na mafisadi AFUATILIE WAPELEKWE MAHAKAMANI NA ATULETEE FEEDBACK KUA WAMEFUNGWA NA SI KUHANGAIKA NA WATU KAMA WAMACHINGA WANAOKULA KWA JASHO LAO...
wa ukweli kipindi chake kinaitwa ,mtaani kwetu.
 
Waingie na kariakoo sokoni usafi ni zero
 
Back
Top Bottom