Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

Na sidhani kama Zembwela ana Diploma au Shahada ya uandishi wa habari lakini ni mtendaji kuliko hao wenye ma vyeti
 
Nipi week mtaona hali itarudi kama kawaida kinachofanyika pale hao wanoweka mabanda pale wanalipa kiasi fluni kwa qale waaimamizi kila siku iki wendelee na biashara yao pale.
 
Nyie msalimieni zembwela tu badala ya kuomboleza raba za mbao mtakazo pigwa mtaani wale watu wakikosa ajira!
 
Jana kariakoo kulikuwa kuzuri asubuhi, vibanda vya mitaani na wachuuzi wa barabarani hawakuwepo. Jioni walirudi kama kawaida.
 
Habari wana Jf!
Naomba mtu mwenye namba ya Zembwela msanii na ambaye anafanya kazi ya utangazaji East Africa Radio. mwenye nayo ani pm au nitumie ktk 0716-844978
 
Nyie msalimieni zembwela tu badala ya kuomboleza raba za mbao mtakazo pigwa mtaani wale watu wakikosa ajira!
Nami nampongeza sana zembwela. Pia napongeza uamuzi wa kuzuia bodaboda na bajaj katikati ya jijj. Lazima tuwe na utaratibu ili nasi tuonekane wastaarabu. Jiji gani kila mahali kunanuka? Jiji gani milokoteni inaingia hadi katikati ya jiji? Inawezekana kabisa kuwa na miji na majiji yaliyopangiliwa.
 
mi.nina ya mzee mengi nikupe umuulize?
 
mwenge imetakata kabisa baada ya kipindi cha east africa radio kinachoendeshwa na mwanahabari zembwela kukaripia kwa ukali sana uchafu na uwekaji mabanda pale mwenge stendi leo kumesafishwa kupo safi.ama kweli taaluma ya habari ikitumiwa vizuri huwa inaleta manufaa papo hapo. Asante zembwela kwa kalipio lako.

namkubali sana kaka yangu zembwela ila kwa hili yupo wrong na hao waliovunja..,.mnajua madhara yake, ngojeni roba za mbao, kuibiwa visim vyenu
 
Ukienda kukaba nenda ila ukifika jela tu uhamisho iringa na singida kwenda kupasua mawe kwa ajili ya reli
 
Kama ni rubber namba yake ni 8 na nusu, ila kama wanchoma-kumoyo anavaa namba 10!
 
Mleta mada umeandika kama we ndio uloendesha oparesheni
mi nadhani pale mwenge n center nzur kwa biashara na lengo la serekali ni kuongeza ajira nchni,chukuen ushauri wangu huu hapa,nnsf wapewe eneo hilo wajenge kituo na majengo meng ya biashara ya kisasa,ili mkusanye kodi nyie wenyewe baada ya huyo babu kesi,ilo linawezekana,lengo letu n kupiga hatua kimaendeleo

Wazo lako ni zuri lkn kwa hapa kwetu utekelezaji ndio shida (it is not feasible), watu watakuwa wananunua kwa wanaoshika mikononi na wale wenye frames hawatapa wateja na matokeo yake ni kama yale yale ya Machinga complex.
 
kama ubungo walirudi basi hapo mwenge ni nguvu za soda.
 
Mwenge imetakata kabisa baada ya kipindi cha East Africa radio kinachoendeshwa na mwanahabari zembwela kukaripia kwa ukali sana uchafu na uwekaji mabanda pale mwenge stendi leo kumesafishwa kupo safi.

Ama kweli taaluma ya habari ikitumiwa vizuri huwa inaleta manufaa papo hapo.

Asante zembwela kwa kalipio lako.

The comedy (sasa hivi Original Comedy), waliwahi kwenda kufanya sala kwenye daraja la mto Ruvu, wakakemea san baada ya kuona limekaa muda mrefu likijengwa bila kuisha,....., baada ya hapo muda mfupi lile daraja lilikamilika ujenzi wake! Media media media ikitumika sawasawa ina nguvu kuliko hata serikali!
 
Tatizo la serikali yetu ni kufanya mambo kama zima moto. Watajidai endelevu baada ya wiki moja utaona kimya na watu watarudi kwenye maeneo hayo kwa nguvu. Hata kwenye mafuriko ni hivyo hivyo. Mpaka mvua inyeshe ndipo utasikia kauli za kuwataka wahame. Wakati wa kiangazi wanawaona kabisa wakijenga hawasemi kitu. Imekuwa ni serikali ya matukio. Walipaswa pia kufanya doria hata usiku kwani kuanzia saa 1 ndipo biashara huanza kusogezwa maeneo yasiyoruhusiwa.

Mwanza walisha salimu amri machinga hadi mlangoni kwa mkuu wa mkoa na wanaheshimiwa mbaya!
ukiputa makoroboi kuna watu maduka yamewashida na wamefunga na kuwa chinga
 
Back
Top Bottom