Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

Mwenge stend leo ni vunja bomoa ondoa

Nyie sifieni tu wakati mwenzenu Riz-Uno keshakamata mamilioni kwa kutumia malori yake. Unafanya mchezo na gharama za kampeni.
 
Mara boda boda mara stendi bado daladala ili kupisha mwendokasi
 
hawa machinga sometimes wanayataka wao,hata wajengewe mahali pa kuuzia lazima watarudi maeneo yao flani wanayopenda,na baada ya mda utaona tu wamerudi,kwanini wasikubali kufanya biashara kwenye sehemu wanayopewa maana wao wakitulia sehemu mmoja bila bughda nadhani hata wateja watawafuata wenyewe.
 
eti wewe ndo umefanya juhudi hadi vibanda vingi mwenge vimevunjwa kupitia kipindi chako cha SUPERMIX....unapofanya kitu chochote lazima uangalie hasara na faida kama hasara ni kubwa kuliko faida huna budi kuacha....jiulize hawa watu na vibanda vyao walivyokua walikua wanatupunguzia nini na wameondoka tutaongezekewa na nini na wataenda wapi!....WENGI MTANIPINGA ILA HUU NDIO UKWELI ZEMBWELA HAYUPO SAHIHI KWA KUSUPPORT HILI.......kama kweli ni mchakarikaji afuatilie kesi za mafisadi na zingne zinazohusu wizi wa meno ya tembo na wanyama wengne unaofanywa na mafisadi AFUATILIE WAPELEKWE MAHAKAMANI NA ATULETEE FEEDBACK KUA WAMEFUNGWA NA SI KUHANGAIKA NA WATU KAMA WAMACHINGA WANAOKULA KWA JASHO LAO...

tatizo watanzania ni mabingwa wakufanya makosa na kuvunja sheria then tunamazoea ya kuzoea na kujijengea tabia ya kuvunja sheria na linapokuja swala la kuwajibishwa hugeuka kuwa mbogo.

MKUU tukiachana na serikali pale MWENGe kuna wafanyabiashara wamepanga flem kwa mwezi wanalipa laki 5 na bado tra wanalipa kodi na biashara wanayofanya au bidhaa wanazo uza wao ni sawa kabisa na wanazo uza hao wenyevibanda na meza tena wengine wanapanga biashara mlangoni kabisaa.
wao wanatoa Hera kwa kesi na viongozi WA ccm wanagawana na wao ndio wanauza zaidi ya wenye maduka sasa jee haki yawanye maduka IPO wapi??

na mwisho kila sehem inakazi yake .
wafanya biashara wanaiharibu sana stend ya MWENGE .ukifika jioni wanatandika biashara mpaka getini yanapoingilia magari unaweza ukafika bamaga ukakutana na foleni likisababishwa na daladala zinazoingia STENDI zinazotoka BAGAMOYO rod nazinazotokea bamaga ndani hakuna nafasi .

jeee nikipi kwetu ni chema.
 
kama nia ni kupisha magari ya mwendo kasi je hayo magari yatajaa dar yote?

mkuu huwa likianzishwa jambo jipya huwa wanaweka mbwembwe zote ili wizara husika ionekane eti ipo makini kiutendaji
 
Teh teh teh nasikia umeteuliwa kukaa naye mpaka aondoke

9k=

Mwenyeji wake huyu hapa
 
Kwamba mji ni lazima ujengwe kwa kuzingatia mipango, na ni lazima kuwe na mamlaka husika bado haijamaanisha kwamba Tanzania kuna serikali.

Inawezekana mji haufuati mipango kwa sababu mamlaka husika hazifanyi kazi, in an endless vicious cycle of degeneration.

Yours is a logical non-sequitur.

Nikisema nafanya party, all white affair, kuja ni lazima uwe umevaa nguo nyeupe, hilo halimaanishi nimesema unayo nguo nyeupe. Inawezekana huna na tangazo langu litakusaidia kununua nguo nyeupe uje kwenye party.

Unachosema wewe ni kwamba, kwa vile nimesema kuja kwenye party ni lazima uvae nguo nyeupe, basi nimesema unayo nguo nyeupe.

Tofauti.

Kuna mjinga mwingine alinitukana kwa kuniita kichwa maji hivyo hivyo kama wewe.

Wataalam wa ubongo wanasema ubongo una maji takriban 78%

Nani anakurupuka sasa?

Labda kichwa chako kina ukosefu wa maji.

Hahahahaha I like it jinsi unavyomjibu kwa hoja ndo naan watu maakaman wanashindw kesi kwa mambo madog kama hayo "kichw maji kumbe hajui kuw kichw kinamji asilimia 78%"
 
Life is not fair wahujumu uchumi wenyewe walaaaa vidaga vinaonewa kweli ccm 2015 mtakuja kutuambia nini? Barabara hahaaa mngekuwa mnafuatilia mambo yote hivi tungekuwa mbali hayo kwenu nyie ndiyo ya umuhimu serikali gani ya kishenzi namna hii
 
tatizo watanzania ni mabingwa wakufanya makosa na kuvunja sheria then tunamazoea ya kuzoea na kujijengea tabia ya kuvunja sheria na linapokuja swala la kuwajibishwa hugeuka kuwa mbogo.

MKUU tukiachana na serikali pale MWENGe kuna wafanyabiashara wamepanga flem kwa mwezi wanalipa laki 5 na bado tra wanalipa kodi na biashara wanayofanya au bidhaa wanazo uza wao ni sawa kabisa na wanazo uza hao wenyevibanda na meza tena wengine wanapanga biashara mlangoni kabisaa.
wao wanatoa Hera kwa kesi na viongozi WA ccm wanagawana na wao ndio wanauza zaidi ya wenye maduka sasa jee haki yawanye maduka IPO wapi??

na mwisho kila sehem inakazi yake .
wafanya biashara wanaiharibu sana stend ya MWENGE .ukifika jioni wanatandika biashara mpaka getini yanapoingilia magari unaweza ukafika bamaga ukakutana na foleni likisababishwa na daladala zinazoingia STENDI zinazotoka BAGAMOYO rod nazinazotokea bamaga ndani hakuna nafasi .

jeee nikipi kwetu ni chema.

ni kwel una point waondolewe pale kwanza hawatoi kodi na wenye maduka ndo wanatoa na hawauzi kama vibanda lazma kila sehemu pawe na utaratibu wake kwanza wanachafua mazingira
 
Back
Top Bottom