LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,222
Leo ukifika MWENGE lazima ushangae kwani ni kweupeee hakuna msongamano wa watu wala daladala stendi ni nyeupe mpaka raha.
hakuna kukanyagana tena wala kupigana vikumbo.
Leo asubuhi na mapema polisi FFU na baadhi ya mgambo wameendesha operation ya bomoa bomoa meza na mabanda yote ya wamachinga yaliyopo ndani nje nayaliyo karibu na MWENGE STENDI.
kiukweli wamefanya KAZI nzuri sana hasa ni baada yakuzifuata mpaka meza zilizokuwepo zimehifadhiwa.
sababu wangeziacha jioni wanazibeba na kujakufungua biashara na kuwapa pesa watu wanaojiona kama MWENGE STENDI ni yakwao Mali yao wakiongozwa na babu kesi.
haina jinsi wakulaum mtalaum ila inabidi tukubali tu kuwa kitu kisipokuwa mahari pake ni uchafu.
kuna watu wanalipa mamilioni ya kodi ila hawa wangine kodi yao wanalipa kwa KESI yeye ndio tra WA mwenge
hakuna kukanyagana tena wala kupigana vikumbo.
Leo asubuhi na mapema polisi FFU na baadhi ya mgambo wameendesha operation ya bomoa bomoa meza na mabanda yote ya wamachinga yaliyopo ndani nje nayaliyo karibu na MWENGE STENDI.
kiukweli wamefanya KAZI nzuri sana hasa ni baada yakuzifuata mpaka meza zilizokuwepo zimehifadhiwa.
sababu wangeziacha jioni wanazibeba na kujakufungua biashara na kuwapa pesa watu wanaojiona kama MWENGE STENDI ni yakwao Mali yao wakiongozwa na babu kesi.
haina jinsi wakulaum mtalaum ila inabidi tukubali tu kuwa kitu kisipokuwa mahari pake ni uchafu.
kuna watu wanalipa mamilioni ya kodi ila hawa wangine kodi yao wanalipa kwa KESI yeye ndio tra WA mwenge
TUKIO KATIKA PICHA: BOMOA BOMOA YA VIBANDA VYA BIASHARA MWENGE LEO, MAKUBWA YAVUMBUKA.!
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetublogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
SIKILIZA TONE RADIO HAPA
<iframe width="480" height="302" src="http://www.ustream.tv/embed/9555115?v=3&wmode=direct" scrolling="no" frameborder="0" style="border: 0px none transparent;"> </iframe>
<br /><a onclick="_gaq.push(['_trackEvent', 'Outgoing', 'www.ustream.tv', '/']);" rel="nofollow" href="http://www.ustream.tv/" style="padding: 2px 0px 4px; width: 400px; background: #ffffff; display: block; color: #000000; font-weight: normal; font-size: 10px; text-decoration: underline; text-align: center;" target="_blank">Live streaming video by Ustream</a>
Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Ilikuwa Mida ya Saa tatu za asubuhi ambapo Magari zaidi ya 10 ya Jiji yalikuwa yamejipanga eneo la mwenge Huku kukiwa na Ma Askari wa FFU wa kutosha pamoja na Migambo wa Jiji huku wakiongozwa na watu wa Jiji kwa ajili ya Kukamilisha swala zima la bomoa bomoa vibanda vyote ambavyo havina mpangilio.. zoezi hilo lilianza kwa utulivu na kuendelea kwa utulivu kutokana na ulinzi mkubwa uliokuwepo huku wananchi wakiendelea na kazi zao kama kawaida na kukatazwa kukatiza katika eneo la tukio kwa usalama wao..
Hata hivyo Baada ya vibanda hivyo kutolewa kumegundulika kuwa kulikuwa ni kuchafu kupindukia kutokana na uchafu uliokuwa umezagaa kila kona..
Kulia ni Magari mbalimbali ya Serikali yakiwa yamepaki eneo la Mwenge huku zoezi likiendelea
Hili ni eneo la ndani ya Mwenge ambapo wamebomoa vibanda vyote
Akina Mama eneo la Mwenge ndani ndani kiasi wakiwa wanahaha huku wakihangaika kutoa vitu vyao baada ya Bomoa Bomoa kupita... Hawa ni wale wauza Chai na Supu asubuhi
Huwezi amini lakini ndio hali halisi sasa eneo jirani na Kituo cha Mabasi Mwenge hakuna tena Adha ya vibanda , lakini umebaki uchafu uliopitiliza na kugundulika kuwa hawa watu walikuwa wakifanya Biashara katika maeneo ambayo si salama
Hili ni eneo ambalo lilikuwa ni Maarufu kwa ajili ya kuuza vitu mbalimbali kama mitumba na viatu lakini kwa sasa hakuna kitu ni peupe
wakiendelea kukusanya mabaki ya Mabanzi katika eneo hilo la mwenge
Kwa wale akina dada hili lilikuwa eneo maarufu sana kwa ajili ya Kutengenezea nywele na saloon bubu ambazo zote zimevunjwa vunjwa kwa sasa
Hapa juu mwanzo kulikuwa na mabanzi ya kutosha na wakina dada wengi walikuwa wanapenda kuwa hapa wakitengenezwa nywele zao wasijue kuwa walikuwa wakikaa katika eneo chafu kama hili.
Gari hili likijiandaa kuondoka baada ya somba somba
Kwa kuliangalia Eneo hili utasema ni chafu sana lakini ndio ambalo lilikuwa maarufu hasa kwa akina mama na akina dada kutengenezea kucha zao na kusuguliwa miguu, Je kama wangejua ni pachafu hivi wangeweza kugusa hata kuja kutengeneza kucha?
Bomoa bomoa ikiendelea
Hakuna Vibanda lakini adha imebakia sasa ni ya uchafu![]()
Baada ya kufanya manunuzi watu hutupa takataka tuu, zilikuwa zikijificha kulingana na mkusanyiko wa watu lakini hii ndio hali halisi sasa
Je hapa tutapona magonjwa ya mlipuko?
Peupe hata kuna nafasi ya kutembea kwa miguu
Huu ni upande wa pili wa kuelekea Mikochemi ambapo bajaji Hupaki napo wamesafisha kwa kubomoa vibanda vyote hapa ni Shwari peupe
Mgambo wakiwa wamemaliza kazi yao hapa ......![]()
![]()
Picha hizi mbili ni eneo maarufu sana ambapo watu walikuwa wanauza Vifaa vya umeme na DVD, Sub Woofer pamoja na Radio bila kusahau TV sasa pamebaki kama hivi, Je walikuwa hawajui kama ni pachafu kiasi hiki?
Picha na Pamoja Blog/ Dar es salaam yetu Blog