chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Kubali usikubali kama wewe ni mwenyeji wa Dar au umeshawahi kutembelea maeneo haya lazima ukubaliane na ninachotaka kukisema,.
Mwenge ni kubwa sana ila nitachukua eneo dogo tu nililolifanyia utafiti la mwenge-sokoni na mwenge-kituo cha mabasi,.
Maeneo haya yamekuwa ya muingiliano wa watu wengi sana wakijitafutia mahitaji yao au kufanya biashara zao,.
Kwa utafiti nilioufanya nimeibua yafuatayo:
1.Eneo hili limesheni wadada wengi tena warembo waliojipamba wakapambika, waliotumia vipodozi vikawapodoa,.
2.Eneo hili limekuwa sehemu ya makutano kwa wapenzi wengi ukilinganisha na Mlimani city na maeneo mengine maarufu hapa mjini,
3.Eneo hili limekuwa sehemu ya kupamba miili ya akina dada, ukitaka staili yoyote ya mapambo fahamu Mwenge ndiyo mpango mzima,
Wakina dada wa siku hizi ukiwauliza tuonane wapi bila shaka atakuambia tuonane Mwenge, mambo ya kukutana beach yameshapitwa na wakati!!
@''bado nahitaji kifahamu mwenge zaidi
Mwenge ni kubwa sana ila nitachukua eneo dogo tu nililolifanyia utafiti la mwenge-sokoni na mwenge-kituo cha mabasi,.
Maeneo haya yamekuwa ya muingiliano wa watu wengi sana wakijitafutia mahitaji yao au kufanya biashara zao,.
Kwa utafiti nilioufanya nimeibua yafuatayo:
1.Eneo hili limesheni wadada wengi tena warembo waliojipamba wakapambika, waliotumia vipodozi vikawapodoa,.
2.Eneo hili limekuwa sehemu ya makutano kwa wapenzi wengi ukilinganisha na Mlimani city na maeneo mengine maarufu hapa mjini,
3.Eneo hili limekuwa sehemu ya kupamba miili ya akina dada, ukitaka staili yoyote ya mapambo fahamu Mwenge ndiyo mpango mzima,
Wakina dada wa siku hizi ukiwauliza tuonane wapi bila shaka atakuambia tuonane Mwenge, mambo ya kukutana beach yameshapitwa na wakati!!
@''bado nahitaji kifahamu mwenge zaidi