Njoo Lumumba upewe KirobaMkuu niletee na mimi soda stone tangawizi ya baridi.
nitaendelea. Naenda kutafuta soda.
sasa ndo umeandika upuuzi gani wewe? au nawe mkenya tena mungiki?
Kweli kabisa eti Nivue shati nisivue !!!shati oyeee!!
Mwandiko wako utadhani bata anajifunza kuhara
Nakusubiri Andrew Nyerere. Naheshimu mawazo yako, unaonekana kuwa na jambo la maana la kusema.
Makongoro alishaharibu sifa za ukoo wa Nyerere. Wote sasa mnaonekana kama vilaza tu. Zimebaki hotuba za Mwalimu Nyerere tu.
asante sana kwa maoni yako mtumishi wa MunguKuhusu huu uchaguzi wengi wametoa maoni isipokuwa mimi. Uchaguzi huyu unaonyesha ishara ya kuwa tofauti kidogo na uchaguzi uliopita.Ukawa wanaleta ushindani mkubwa. Makada wengi wamekihama chama cha CCM na kujiunga na Chadema. Lakini Chadema. Lakini Chadema pia imehamwa na wanachama wake. Sasa yupo Lowassa ambaye anaweza kuwa rais
lakini lowassa anaweza vipi kuwa rais kama ccm imefanya vizuri sana katika uchaguzi za serikali za mitaa miezi michache iliyopita? Na hapa lazima niseme kwamba sielewi ni vipi zita kuwepo uchaguzi za udiwani oktoba 25 wakati ulikuwepo uchaguzi wa serikali za mitaa miezi michache iliyopita. Lakini kama ccm ilishinda uchaguzi
Nitaendelea. Naenda kutafuta soda.
Huyo Andrew huwq haeleweki kabisa. Whatever his trials and tribulatuons are....