Mwendokasi ni mateso!!

Mwendokasi ni mateso!!

Maswai T

Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
17
Reaction score
11
Kwanza abiria wanakata tiketi, kisha wanasubiri gari zaidi ya saa moja.

Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya vituo havina viti vya kupumzika abiria wala vyoo.

Yaani abiria wa mwendokasi wamekuwa kama watumwa kwani ukisha ingia kituoni huwezi kutoka kwenda kujisaidia nje ya kituo kisha urudi na kuendelea na safari yako.

Endapo ukifanya hivyo lazima ukate tena tiketi, sasa jamani mnategemea watu wajisaidie wapi ilihali wanasubiri magari muda mrefu?
 
Mradi ushajifia kibudu

Serikali inaangalia tu

Wakijakushtuka barabarani zinapita bodaboda na daladala

Hapo ndo utasikia kwa sauti ya magu

"Turichezewa sanna wao wanapita kwenye ma Vx wararahoi wanateseka"
 
Nimepita fire muda si mrefu abiria nmeona wote wameshushwa wanakaguliwa na askari polisi Sijui wameibiana humo....

Ova
 
Mkuu kasema Tupo sehemu nzuriii Sana watanzania tusiyumbishwe na maneno yamitandaoni.
 
Ndo unaona Leo huu. Ni utumwa kabisa. Kwanza mnabanana. Kama mifugo ng,ombe ustaarabu. Utu hamna bora tungebaki na daladala. Zetu.
 
Umesahau na mwendo wa madereva kama wanakimbizwa, mtu anajua na kuona kabisa kivuko cha waenda kwa miguu au taa zipo karibu bado Nkuja kwa mwendo mkubwa sana halafu breki ghafla abiria woote wanasukumana.
 
Umesahau na mwendo wa madereva kama wanakimbizwa, mtu anajua na kuona kabisa kivuko cha waenda kwa miguu au taa zipo karibu bado Nkuja kwa mwendo mkubwa sana halafu breki ghafla abiria woote wanasukumana.

niliwahi kusikia mtu akisema kuwa madereva hufanya vile ili kuwachekecha watu watoshe vizuri haswa wale wagumu wa kusogea mbele
 
Kwanza abiria wanakata tiketi, kisha wanasubiri gari zaidi ya saa moja.
Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya vituo havina viti vya kupumzika abiria wala vyoo.
Yaani abiria wa mwendokasi wamekuwa kama watumwa kwani ukisha ingia kituoni huwezi kutoka kwenda kujisaidia nje ya kituo kisha urudi na kuendelea na safari yako.
Endepo ukifanya hivyo lazima ukate tena tiketi, sasa jamani mnategemea watu wajisaidie wapi ilhali wanasubiri magari muda mrefu?

Ni shida....
 
Kwanza abiria wanakata tiketi, kisha wanasubiri gari zaidi ya saa moja.
Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya vituo havina viti vya kupumzika abiria wala vyoo.
Yaani abiria wa mwendokasi wamekuwa kama watumwa kwani ukisha ingia kituoni huwezi kutoka kwenda kujisaidia nje ya kituo kisha urudi na kuendelea na safari yako.
Endepo ukifanya hivyo lazima ukate tena tiketi, sasa jamani mnategemea watu wajisaidie wapi ilhali wanasubiri magari muda mrefu?
Panda daladala mkuu
 
Umesahau na mwendo wa madereva kama wanakimbizwa, mtu anajua na kuona kabisa kivuko cha waenda kwa miguu au taa zipo karibu bado Nkuja kwa mwendo mkubwa sana halafu breki ghafla abiria woote wanasukumana.
Ipo siku videvu vitabonyea sababu mara nyingi kidevu kinakuwa kwenye bega la abiria mwenzako
 
Mkuu usijadili kitu ambacho hata wewe mwenyew huna. Mkulu alisema kwenye viwanda
 
Back
Top Bottom