Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Ameripoti jamani, mbona umeshamwelewa negatively? Wabongo bwana......Kwa hiyo umefurah!
Unatk nimwelewe kama wewAmeripoti jamani, mbona umeshamwelewa negatively? Wabongo bwana......
Kwa hiyo umeuliza swali ?Kwa hiyo umefurah!
Mkuu we unaona hilo tukio linafurahisha?Kwa hiyo umefurah!
Bora kama lilikuwa hajijajaza sana mkuu, maana ukipanda pale gerezani ya kimara duuh unaganda tuDuh sipati picha abiria waliyokuwemo ndani jinsi walivyo struggle kutoka na kusepa
Inawezekana Mkuuengine over heating....
gari zenye engine nyuma siyo sahihi kwa mazingira ya joto kama tanzania
Shida nikwamba kila jambo saiz Tz linahusishwa na Siasa tu mkuu, Kwahiyo msamehe nayeye yupo mlengo huoAmeripoti jamani, mbona umeshamwelewa negatively? Wabongo bwana......
Huwezi kumuelewa kwasababu hutumii akili yako,kuna sehemu umeisahauUnatk nimwelewe kama wew
Dada una akili sana na nimekupa likeAmeripoti jamani, mbona umeshamwelewa negatively? Wabongo bwana......