Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,913
Eti mabasi ya mwendo kasi yako ya kawaida na mengine kasi ya express. Ujinga mwingi tu. Mara ngapi nimepanda magari yao hayana matangazo ya wazi yanapokwenda wala hakuna vipaza sauti na hakuna konda.
Nakusudia niteremke Magomeni wananipeleka mpaka Manzese. Nasubiri jengine la kuelekea mjini ili niteremke kituoni kwangu na kwa mara nyengine wananirudisha mpaka Msimbazi, Nikapanda jengine mambo yakawa kama hivyo Nikasema ujinga gani huu napanda daladala ya kawaida. Nikalipa nauli nyengine na nikakosa karamu ya shughuli ya harusi.
Kama mnataka maoni yangu. Basi kila basi liwe na tangazo kubwa ubavuni linakwenda wapi au wekeni konda asaidie kuzungumza na dereva wake kuwasaidia abiria.
Nakusudia niteremke Magomeni wananipeleka mpaka Manzese. Nasubiri jengine la kuelekea mjini ili niteremke kituoni kwangu na kwa mara nyengine wananirudisha mpaka Msimbazi, Nikapanda jengine mambo yakawa kama hivyo Nikasema ujinga gani huu napanda daladala ya kawaida. Nikalipa nauli nyengine na nikakosa karamu ya shughuli ya harusi.
Kama mnataka maoni yangu. Basi kila basi liwe na tangazo kubwa ubavuni linakwenda wapi au wekeni konda asaidie kuzungumza na dereva wake kuwasaidia abiria.