Alistahili kutimuliwa kazi miaka mingi iliyopita lakini unamjua DHAIFU mpaka Bunge la CCM limshinikize ndio afukuze kazi watu. Kazi ilishamshinda huyu siku nyingi sana na kuendelea kuwepo kwake ndio kumelichafua kabisa jeshi hilo na sasa kuonekana ni genge la wahuni, watesaji, wezi, majambazi na wauaji pia halina heshima hata kidogo katika kila kona ya nchi yetu. Kwa kifupi amechangia mno jeshi hilo kupoteza heshima yake nchini.
lol! Msema ukweli siku zote ni mpenzi wa Mungu. Na hakuna mahali nilipoandika kwamba kuna Mwanadamu asiye na mapungufu, lakini kama utendaji wa kiongozi katika chombo/taasisi ya Serikali ni mbovu basi hakuna sababu yoyote ya kumung'unya na kumremba ili kuonyesha kwamba alifanya kazi nzuri. Jeshi la polisi limeoza sasa hivi haliaminiki tena inabidi kufumuliwa lote ili kulijenga upya lakini DHAIFU hana ubavu huo. Na katika miaka hii miwili kati ya sasa na 2015 jeshi hili ndio litazidi kujichafua kwa kiwango cha kutisha.
BAK,
Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!
Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.
Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?
Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?
Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
Kama Kikwete alimleta Mwema afanye mabadiliko katika jeshi la polisi basi he is a disastrous failure. Jeshi la polisi chini ya Mwema halina tofauti na jeshi la polisi chini ya Mahita.BAK,
Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!
Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.
Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?
Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?
Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
BAK,Propaganda ambazo hazina ukweli wowote ndio kazi zenu nyie. Kama huoni wala husikii jinsi jeshi la polisi lilivyopoteza heshima yake hata ashuke Mungu kukwambia hivyo huwezi kumuamini. Mie nimemaliza.
uwe na heshima na hujui unachozungumza. Nchi zote duniani zinaweza kuwa hazina majeshi ila Polisi ni lazima wawepo. Polisi ni Law Enforcers sio Jeshi kama JWTZ wao sio LAW ENFORCERS! Ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie ucheze,we si uulize kwa Polisi kwa nini Mwema analazimika kujiuzuru kabla ya muda? Japokuwa hata wana-JF wanahamu ya kujua kwanini,lakini inakuwa ngumu kufichua sababu mambo mengine IKULU ndio inafahamu siri yote. Hapa ni jamvini kwa hiyo hata kuandika ni kwa kiasi!
BAK,
Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!
Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.
Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?
Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?
Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
BAK,
Ukiangalia watu waliompa "like" kama Faizafoxy unaelewa tu kuwa hawa watu wanaendeshwa na kitu kimoja tu. Uislamu wa Mwema.