vijana wa kale wa hovyo kwenye ubora wao! Haya bhana!Ni mtu mzima mwenzangu...amezalishwa watoto kadhaa na wanaume tofauti.....
Sasa huyu mwanamke huruma iliniingia baada ya kumuona mpweke....
Nikachukua jukumu la kumsitiri/na mimi ofcoz nikawa napasha kiaina...
Huku na kule akaanza kuonyesha tabia zake waziwazi....
Nikapata jibu kwa nini watu walikuwa wanamzalisha na kusepa......
Anyway mashine yake si mbaya...labda kwa sababu raia hawamrukii mara kwa mara...
Icho kibanda ukiji ficha kutoka kazi ipo mpaka uka tapishwe😂😂Sijaoa...mie najificha mvua tu!!
Naunga mkono hoja MWANAUME hawaitajii makelele..Anarusha mpaka mikono.... kunyoosha vidole ....kusonya daaah....mishipa usoni inamtoka.