Mwanzoni nilimuona wa kawaida

Mwanzoni nilimuona wa kawaida

Ni mtu mzima mwenzangu...amezalishwa watoto kadhaa na wanaume tofauti.....

Sasa huyu mwanamke huruma iliniingia baada ya kumuona mpweke....


Nikachukua jukumu la kumsitiri/na mimi ofcoz nikawa napasha kiaina...

Huku na kule akaanza kuonyesha tabia zake waziwazi....

Nikapata jibu kwa nini watu walikuwa wanamzalisha na kusepa......

Anyway mashine yake si mbaya...labda kwa sababu raia hawamrukii mara kwa mara...
vijana wa kale wa hovyo kwenye ubora wao! Haya bhana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom