kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
Pole sana mkuu, ila ungeendelea tu kumstili maana hakuna binadamu mkamilifu
Usivumilie mambo kama hayo, mwisho wa siku utapigwa visu.Pole sana mkuu, ila ungeendelea tu kumstili maana hakuna binadamu mkamilifu
Mvumilivu hula mbivuUsivumilie mambo kama hayo, mwisho wa siku utapigwa visu.
Hamnaga mbivu, tabia mbovu kwenye mahusiano usizivumilie ni kupoteza muda na kusogeza muda wa maumivu mbele huku ukijiandalia maumivu makubwa zaidi.Mvumilivu hula mbivu
Duuh hatari sana. Lakini wengine kufoka ni malezi tu sio kwamba anamanisha au anahasiraAna hasira kali sana....hufoka na kukaripia mpaka nasihi mshipa mkuu unanywea.
Ampangishe na watoto wa wanaume wenginr?Mpangishie sehemu, awe anakuja kwa ajili ya kupoza injini tu.
Ndio ukubwa huoAmpangishe na watoto wa wanaume wenginr?
Hapa unazungumzia niniAnyway mashine yake si mbaya...labda kwa sababu raia hawamrukii mara kwa mara...
Komaa mpaka ufe mkuu. Huenda ukaelewa kwanini wanaume wenzako walikimbiaNi mtu mzima mwenzangu...amezalishwa watoto kadhaa na wanaume tofauti.....
Sasa huyu mwanamke huruma iliniingia baada ya kumuona mpweke....
Nikachukua jukumu la kumsitiri/na mimi ofcoz nikawa napasha kiaina...
Huku na kule akaanza kuonyesha tabia zake waziwazi....
Nikapata jibu kwa nini watu walikuwa wanamzalisha na kusepa......
Anyway mashine yake si mbaya...labda kwa sababu raia hawamrukii mara kwa mara...