Mwanza, wapi pa kutembelea kuapata burudani/starehe?

Mwanza, wapi pa kutembelea kuapata burudani/starehe?

mdau mpya

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
473
Reaction score
651
Asalam wakuu wote!
Ni hivi nimekuja mwanza kikazi kwa mwezi mmoja so kila nikimaliza nakuwa sina mahali pa kwenda.
Hebu nijulisheni maeneo ya kupumzika hapa jijini kama maeneo ya disko, live bend n.k
Nawasilisha
 
Nenda maeneo ya JB delmonte hotel leo kila kitu kipo nani high classic nadhani umenielewa ninavyosema kila kitu kipu yaaaaani kila kitu
 
hali mbaya ipo wapi?

Kama uzi unavyojieleza naspent like 15 nimekaa tu hata sijui sehemu strategic za kwenda
 
Hapo Rocy City full burudani ni hela yako tu.Anza na Jembe ni Jembe pande za Malimbeee.Au kama vp nenda mitaa ya Kirumba kuna Villa Park Resort pana live band hapo na Night club,Pengine ni Gold Crest Club Bottom au Mwanza Hotel pana Club Fussion anza na hizo wengine waje wajaziliziee
 
Hapo Rocy City full burudani ni hela yako tu.Anza na Jembe ni Jembe pande za Malimbeee.Au kama vp nenda mitaa ya Kirumba kuna Villa Park Resort pana live band hapo na Night club,Pengine ni Gold Crest Club Bottom au Mwanza Hotel pana Club Fussion anza na hizo wengine waje wajaziliziee

Nimekusoma mkuu subiri nioge nisambae kuelekea huko, bila shaka warembo wapo wa kutosha villa park?
 
Mkuu ebu ni pm nikuoneshe jiji ki roho safi kabsa
 
kama ana hela ya kutosha aende malaika beach resort au aede zake kule nyegezi luchelele beach ya Kabwe aliyekuwa mkurugenzi
 
We mwenyewe umeenda kikazi mwezi mmoja unatafuta makuu.
Weka hela hiyo uje utumie na familia acha ubwege.Starehe utafanya ulikotoka

Hakuna sehem ya Kupumzika na starehe kama Nyumba ya Ibada.
Makanisa yapo na miskiti ipo.
 
Jamani nyie tajeni maeneo tu suala la hela sio shida, nna per diem isiyopungua 350,000 per day
 
Njoo mabatini ushangae daraja gari zinapita chini watu juu
Na baadhi wanagongwa
#Pia kuna njia ya miguu Inaanzia mabatini hadi BMC njia ya mawe.....
Ukifika pm
 
Nenda maeneo ya JB delmonte hotel leo kila kitu kipo nani high classic nadhani umenielewa ninavyosema kila kitu kipu yaaaaani kila kitu

JB Belmonte zote zimefungwa, dar na hata hapa Mwanza.
Mtoa mada,
Nenda Isamilo, Malaika, Hotel Tilapia, kisiwa cha saa nane. Na sehem zingine wadau washasema.
 
Back
Top Bottom