Mwanza: wapi ntapata studio nzuri za ku-record gospel tracks

Dundo_Boy

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
2,458
2,464
Ndg zangu habari!, nina mpango wa kuanza kufikisha ujumbe wangu kwa watu wengine kupitia njia ya uimbaji wa nyimbo za injili soon mwaka huu. naomba mwenye kujua studio nzuri ya kurekodi gospel tracks mkoani mwanza aweze kunielekeza na ikiwezekana anipatie mawasiliano kama utakuwa unayo.
Nitashukuru sana kwa ushirikiano!!!. o_O
 
Ndg zangu habari!, nina mpango wa kuanza kufikisha ujumbe wangu kwa watu wengine kupitia njia ya uimbaji wa nyimbo za injili soon mwaka huu. naomba mwenye kujua studio nzuri ya kurekodi gospel tracks mkoani mwanza aweze kunielekeza na ikiwezekana anipatie mawasiliano kama utakuwa unayo.
Nitashukuru sana kwa ushirikiano!!!. o_O
nimekutumia message inbox
 
Wekeni mambo wazi hapa kila mtu ajue ili kama ni utaperi basi watu wajue ni utaperi
 
Wekeni mambo wazi hapa kila mtu ajue ili kama ni utaperi basi watu wajue ni utaperi
Asante kaka!, ni vizuri kunikumbusha maana hapa nchini kuna mambo mengi sana. Ikiwa ina utata nitatulia
 
Nenda Melody studio ndo wanajihusisha zaidi na Gospel. Studio iko Maeneo ya mwaloni kirumba
 
Ndg zangu habari!, nina mpango wa kuanza kufikisha ujumbe wangu kwa watu wengine kupitia njia ya uimbaji wa nyimbo za injili soon mwaka huu. naomba mwenye kujua studio nzuri ya kurekodi gospel tracks mkoani mwanza aweze kunielekeza na ikiwezekana anipatie mawasiliano kama utakuwa unayo.
Nitashukuru sana kwa ushirikiano!!!. o_O
Ndg zangu habari!, nina mpango wa kuanza kufikisha ujumbe wangu kwa watu wengine kupitia njia ya uimbaji wa nyimbo za injili soon mwaka huu. naomba mwenye kujua studio nzuri ya kurekodi gospel tracks mkoani mwanza aweze kunielekeza na ikiwezekana anipatie mawasiliano kama utakuwa unayo.
Nitashukuru sana kwa ushirikiano!!!. o_O
kuna jamaa anaitwa makaya,ana studio ipo malimbe,unapanda gari za sweya mzunguko,unashuka znapoishia gari pale stand ya chuo,alaf chukua pikipiki akupeleke kwa makaya,panajulikana sana kwa masha au kwembe au rorina hostel.
 
kuna jamaa anaitwa makaya,ana studio ipo malimbe,unapanda gari za sweya mzunguko,unashuka znapoishia gari pale stand ya chuo,alaf chukua pikipiki akupeleke kwa makaya,panajulikana sana kwa masha au kwembe au rorina hostel.

Asante!
 
Back
Top Bottom