Kwa nini usi nunulie wewe iyo betrinjoo dodoma nikuuzie yangu nzuri ni dell core i3 kwa 280k kama hutojali nikutumie au kama una mtu huku tukutanishe tatizo lake ni betry tu ila ukiipata hutojuta watoto walilazimisha kuwasha ikiwa haina moto betry ikafa.
inawaka kukiwa na umeme.
ukinunua betry yake ni 6hrs bila kboost na ukiwa online umewasha data.
Weka specifications zakeWadau msaada sehem gani au duka gani wanauza PC nzuri kwaajili ya kazi za kawaida sio gaming
Kasema PC mdirectin akachague mwenyewe........!!Weka specifications zake
Hii hapananjoo dodoma nikuuzie yangu nzuri ni dell core i3 kwa 280k kama hutojali nikutumie au kama una mtu huku tukutanishe tatizo lake ni betry tu ila ukiipata hutojuta watoto walilazimisha kuwasha ikiwa haina moto betry ikafa.
inawaka kukiwa na umeme.
ukinunua betry yake ni 6hrs bila kboost na ukiwa online umewasha data.
Ni mafundi simu au duka LA PC??Aulizie jamaa wanaitwa IT brothers juu kidogo ya mtaa wa dubai
duka la pc na mafundi wa pcNi mafundi simu au duka LA PC??
Ahsanteduka la pc na mafundi wa pc
Kama haujapata pc njoo nikupe sony imenyooka sanaWadau msaada sehem gani au duka gani wanauza PC nzuri kwaajili ya kazi za kawaida sio gaming
sina matumizi nayoo mpk nhtaj ktmbea n pc mpk mapolini.Kwa nini usi nunulie wewe iyo betri
Akili mtu wangu
Kama haujapata pc njoo nikupe sony imenyooka sana
Nipo Magu,mkoani mwanza ..PROCESOR DUAL CORE
RAM 4 GB ,HDD 1 TB , BETRI 3 hours ... Price 380,000/-
sent from HUAWEI
Tuma umu tuioneKama haujapata pc njoo nikupe sony imenyooka sana
Nipo Magu,mkoani mwanza ..PROCESOR DUAL CORE
RAM 4 GB ,HDD 1 TB , BETRI 3 hours ... Price 380,000/-
sent from HUAWEI
Picha za pc hizo hapoTuma umu tuione
Nashukulu kaka napenda kununua dukaniKama haujapata pc njoo nikupe sony imenyooka sana
Nipo Magu,mkoani mwanza ..PROCESOR DUAL CORE
RAM 4 GB ,HDD 1 TB , BETRI 3 hours ... Price 380,000/-
sent from HUAWEI
Nilinunua dukani hpNatumae mleta mada umepata muongozo...
Naona Baba unataka kuiuza hii laptop na sisi watoto tutumie nini?sina matumizi nayoo mpk nhtaj ktmbea n pc mpk mapolini.
tuone hiyo dell mkuunjoo dodoma nikuuzie yangu nzuri ni dell core i3 kwa 280k kama hutojali nikutumie au kama una mtu huku tukutanishe tatizo lake ni betry tu ila ukiipata hutojuta watoto walilazimisha kuwasha ikiwa haina moto betry ikafa.
inawaka kukiwa na umeme.
ukinunua betry yake ni 6hrs bila kboost na ukiwa online umewasha data.