Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
Elimu Elimu wap am sure elimu niliyonayo huna...Endeleen kuhamisha magoli lakini Ukweli mnaujua. ...JPM si Mungu au Malaika ana madhaifu yake kama wewe pia ulivyo na ya kwako acheni propaganda za ohho sjui ndege. ..sjui nyumba za Serikali na blah blah kwa Watanzania wazalendo na ambao hawakua wanufaika wa mfumo wa Rushwa wanaona mazuri ya JPM. ..Hizo bod za manunuzi unazolilia si ndio vchaka vya rushwa na wizi kalamu ya 200 znanunua 2000 mda wa kuongeza namba umepta hyo Reli unayolalamikia ilikua ijengwe kwa bei karbu mara mbili ya hyo na wachna yeye kashusha baada ya kuona kulkua na mazngra ya rushwa. ..wanufaika wa mirija kama hiyo ndio wengi wamegeuka wapinga kila jambo la JPM. . nyie endeleen kuhamisha magoli ndege imeshapaaKufanya nini kipya mpaka mseme mlikuwa mnamtaka kama yeye,huu usanii wa kusema tutaibadilisha sheria ya mikataba alafu inaletwa kwa hati ya dharura,wewe ndo unaona mzalendo,mzalendo angenunua ndege bila kufata utaratibu,anasaini mikataba ya Reli bila bunge kuijadili,inamaana hajui kuna bodi ya manunuzi,na inatakiwa tenda zitangazwe ili ushindani uwe wazi,,yeye nae kanunua tu huyo mzalendo,au kuwapiga stop watu wasihoji lolote ndio uzalendo,jamani kuweni na akili elimu elimu elimu