Mwanza: Rais Magufuli atinga uwanjani ghafla kwenye mechi kati ya Buhongwa vs Nyamwaga

WEE WEE WEE WEE WEE WEE WEE, Ogopa sana mkuu, hao jamaa wako makini hamna mfano kabisa.
Nakumbuka jamaa yangu mmoja ilikuwa ni songea wakati wa utawala wa rais kikwete yeye alikuwa anachungulia katika sehemu iko juu hivi wakati rais kikwete yupo anahutubia uwanjani sasa kumbe kuna mlinzi wa TISS alikuwa anafanya surveillance mbona huyo jamaa walimdaka uzuri alikuwa na kitambulisho cha uanafunzi kwa hiyo aliachiwa baadae.

Kwa hiyo ndugu usichukulie mzaha kabisa yaaani, hao jamaa nisummarize kwa kusema wako vizuri na makini sana mno. Pia kuna rafiki yangu amepigaga kozi za intelligence akiwa ananisimulia anasemaga kuwa jamaa hao jamaa wa ulinzi(bodyguards) huwa wanajipanga katika system ambayo ni very strategic yaani mfano kila mmoja anakuwa anadili na upande halafu na wanajuana walivyojiposition hawahitaji uniform pia hapo kwa kupitia mawasiliano ni kuwa yapo mawasiliano ya hali ya juu na eneo anapokuwapo mheshimiwa ni limezungukwa achilia mbali mitambo ya hali ya juu iliyokuwa positioned strategically maeneo yote nyeti.
Hahahahaha mitambo ipi hiyo ya hali ya juu mkuu?
Obama alipokuja Bongo.. Katua Dar ila KIA na Nairobi kuna ndege zingine zilikuwa stationed... Baharini huko kuna dude lao limebeba balaa zote..Satellites zao zinatazama Tanzania nk.......

Sasa sisi ni mitambo ipi hiyo tunayo naomba japo moja kwa jina

Umenivunja mbavu.
 
Kwa mara yangu ya kwanza niliona bunduki zikiwa hadharani katika msafara wa Raisi wakati wa mazishi ya Marehemu Abeid Amani Karume.

Leo naona naona mtu aliyeshiba akiwa ametangulia mbele ya Rais na kidole kwenye trigger,nimeogopa!!!

Kama Taifa tupo katika hali ambayo si ya kawaida na viashiria hivi ni lazima vichunguzwe kwa makini. Kuna mahali tumekosea na kama hatutajisahihisha tutafika mahali ambapo hatukutegemea.

Maneno yako yanahitaji tafakuri pana kwa wenye mamlaka.
Tushakosea na sina hakika kama tunaweza kurudi tulipokuwa.
Labda aje mwingine.
 
Hahahahaha mitambo ipi hiyo ya hali ya juu mkuu?
Obama alipokuja Bongo.. Katua Dar ila KIA na Nairobi kuna ndege zingine zilikuwa stationed... Baharini huko kuna dude lao limebeba balaa zote..Satellites zao zinatazama Tanzania nk.......

Sasa sisi ni mitambo ipi hiyo tunayo naomba japo moja kwa jina

Umenivunja mbavu.
Hii mitoto inayodhani ughaibuni ni Zenji haina akili kabisa. Inafikiri Rais kuzungukwa na mitutu ya bunduki Ndo uimara wa kikosi cha ulinzi wa rais. Ama kweli tembea uone...
 
Hii mitoto inayodhani ughaibuni ni Zenji haina akili kabisa. Inafikiri Rais kuzungukwa na mitutu ya bunduki Ndo uimara wa kikosi cha ulinzi wa rais. Ama kweli tembea uone...
Hahahahaha babu kuna watu wana kipaji cha kuchekesha... Wacha tucheke siku zisogee
 
Hahahahaha mitambo ipi hiyo ya hali ya juu mkuu?
Obama alipokuja Bongo.. Katua Dar ila KIA na Nairobi kuna ndege zingine zilikuwa stationed... Baharini huko kuna dude lao limebeba balaa zote..Satellites zao zinatazama Tanzania nk.......

Sasa sisi ni mitambo ipi hiyo tunayo naomba japo moja kwa jina

Umenivunja mbavu.

Hawajawahi kujiuliza siku zote JK alikuwa na wapambe kibao na yule mjeshi kwa nyuma. Lakini alivokuja Obama wote hawakuonekana. Nadhani ilikuwa siku pekee JK hakuzungukwa na walinzi wenye silaha za kivita wakiwa na mitutu mbele yao tayari kupush trigger....
 
Akiwa na Ulinzi mkali na wa hali ya juu kabisa, leo jioni rais Magufuli aliamua kwenda kuangalia mpira wa Miguu uliokiwa unaendelea jinini mwanza.

Rais Magufuli akiwapungia mkono washabiki waliohudhuria mechi kati ya Buhongwa United na Timu ya Nyamwaga katika uwanja wa Nyamagana leo.
67db5e252f453f0ec67b980ec9637238.jpg
81ba8b8204293b10ed6d5f5205b826d6.jpg
59145e03c3fc7c11b40445a22ad9c22c.jpg

Rais Magufuli akisalimiana na Wachezaji wa Buhongwa FC mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Nyamagana kuangalia mpira.
303b448d33b06cd5f51bb5767c66c347.jpg

Rais Rais Magufuli akiangalia mpira pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela katika uwanja wa Nyamagana.

Rais Magufuli akinunua karanga kutoka kwa Mmachinga anayefanya biashara katikati ya jiji la Mwanza.
753de3f0a1b1dc8223667823cc7ba781.jpg

eda5f4227dac65395ad63348072b698c.jpg

Rais Magufuli akiwapungia mkono wakazi wa jiji la Mwanza wakati akielekea Uwanja wa Nyamagana kuangalia mechi ya Buhongwa na Nyamwaga FC.
Mwanza
Askari wenye kombati no usalama wa taifa au jwtz??
 
Hawajawahi kujiuliza siku zote JK alikuwa na wapambe kibao na yule mjeshi kwa nyuma. Lakini alivokuja Obama wote hawakuonekana. Nadhani ilikuwa siku pekee JK hakuzungukwa na walinzi wenye silaha za kivita wakiwa na mitutu mbele yao tayari kupush trigger....
Dah vitu vingine hivi tumwachie Mungu tu kwa wale wanao amini uwepo wake... Halafu Maajabu mengine wanasema eti mbona Obama analindwa kwanini iwe tabu kwa wa kwetu? Tena akiwa nje ya nchi yake. Sasa unamfananisha mtu anayetembea na Nuclear Codes kwenye viganja vya mikono yake na wa kwetu ambaye hata kiwanda cha kuunganisha baiskeli hatuna?

Sio kwamba nadharau vya kwetu ila tuache kulinganisha kifo na usingizi
 
Askari wenye kombati no usalama wa taifa au jwtz?? Na kombati naona kama tofauti kidogo na nilizozoea kuziona!! Au macho yangu!!
Peleka unafiki huko.. Hao si ndio makirikiri walio vamia clouds na Makonda... Powered by Gwajima... Haha
 
Za kwenye epiglottis!
Sasa wewe si utakufa kama jiwe limegonga kwenye epiglottis hewa itapitaje kwenye larynx?

Muda mwingine uwe unakaa kimya nyumba yenyewe ya vioo hiyo.

Besides Lugalo unakunya lini bado nakusubiri hapa au umesahau ahadi yako kwamba Madrid wakimfunga Juventus utafanya nini?
 
Akiwa na Ulinzi mkali na wa hali ya juu kabisa, leo jioni rais Magufuli aliamua kwenda kuangalia mpira wa Miguu uliokiwa unaendelea jinini mwanza.

Rais Magufuli akiwapungia mkono washabiki waliohudhuria mechi kati ya Buhongwa United na Timu ya Nyamwaga katika uwanja wa Nyamagana leo.
67db5e252f453f0ec67b980ec9637238.jpg
81ba8b8204293b10ed6d5f5205b826d6.jpg
59145e03c3fc7c11b40445a22ad9c22c.jpg

Rais Magufuli akisalimiana na Wachezaji wa Buhongwa FC mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Nyamagana kuangalia mpira.
303b448d33b06cd5f51bb5767c66c347.jpg

Rais Rais Magufuli akiangalia mpira pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela katika uwanja wa Nyamagana.

Rais Magufuli akinunua karanga kutoka kwa Mmachinga anayefanya biashara katikati ya jiji la Mwanza.
753de3f0a1b1dc8223667823cc7ba781.jpg

eda5f4227dac65395ad63348072b698c.jpg

Rais Magufuli akiwapungia mkono wakazi wa jiji la Mwanza wakati akielekea Uwanja wa Nyamagana kuangalia mechi ya Buhongwa na Nyamwaga FC.
Mwanza
Very very good our hero President Magufuli wakati mwingine unatakiwa kupumzisha akili kwa kazi ngumu unayoifanya kujenga Tanzania mpya
 
Kwa mara yangu ya kwanza niliona bunduki zikiwa hadharani katika msafara wa Raisi wakati wa mazishi ya Marehemu Abeid Amani Karume.

Leo naona naona mtu aliyeshiba akiwa ametangulia mbele ya Rais na kidole kwenye trigger,nimeogopa!!!

Kama Taifa tupo katika hali ambayo si ya kawaida na viashiria hivi ni lazima vichunguzwe kwa makini. Kuna mahali tumekosea na kama hatutajisahihisha tutafika mahali ambapo hatukutegemea.
Na mtapiga sana kelele jamaa atakaza na ulinzi utaimarishwa tu. Kama hamtaki mtakubali tu au mtahama nchi. Jamaa anakaba hadi kivuli.
 
Magu ni mtata sana alafu namuelewa kinyama. Mara kadhaa anasema mimi sio mwanasiasa lakini upande wa pili anaziweza sana mbinu za mbinu za wanasiasa na anaweza sana kupiga kazi kama mjeshi na kama mwanasayansi, atawapoteza sana wapinzani wake wasiojipanga kimkakati.
 
Back
Top Bottom