Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 12,013
- 12,575
Kasi ya kutafuna karanga? Tuna akili sisi?Kwa kasi hii CHADEMA lazima wachachawe.
Kasi ya kutafuna karanga? Tuna akili sisi?Kwa kasi hii CHADEMA lazima wachachawe.
Safi my president bora wameongeza ulinzi wakeAkiwa na Ulinzi mkali na wa hali ya juu kabisa, leo jioni rais Magufuli aliamua kwenda kuangalia mpira wa Miguu uliokiwa unaendelea jinini mwanza.
Rais Magufuli akiwapungia mkono washabiki waliohudhuria mechi kati ya Buhongwa United na Timu ya Nyamwaga katika uwanja wa Nyamagana leo.
Rais Magufuli akisalimiana na Wachezaji wa Buhongwa FC mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Nyamagana kuangalia mpira.
Rais Rais Magufuli akiangalia mpira pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela katika uwanja wa Nyamagana.
Rais Magufuli akinunua karanga kutoka kwa Mmachinga anayefanya biashara katikati ya jiji la Mwanza.
Rais Magufuli akiwapungia mkono wakazi wa jiji la Mwanza wakati akielekea Uwanja wa Nyamagana kuangalia mechi ya Buhongwa na Nyamwaga FC.
Mwanza
Acha ujinga wewe kuna mambo ya kijamii hutakiwi kufanya piaSera Yake Hapa Kazi Tu Inamsuta,huo Mda Wakwenda Kuangalia Mechi Amepata Wapi?Ratiba Yake Ilikuwa Inamruhusu?Au Hapa Kiki Tu?
KWA MWENDAWAZIMU KAMA WEWE HUWEZI KUELEWA MAGUFULI ANAFANYA NINI NDIYO MAANA WENYE AKILI TIMAMU WAMEIMARISHA ULINZI KWAKUWA WANAFAHAMU NINI KINACHOFANYIKA, KWAKO WEWE HATA UKIONA GARI LA WAGONJWA LINAKUJA KASI MBELE YAKO HUTALIPSHA KWA KUAMNI NI SISIMZI KWA AJILI HIYO HATA TUKIKESHA TUNAONGEA NA WEWE KAMWE HUTAELEWA MPAKA UNAPUMZIKA KWA AMANI, MARAS WENZAKE DUNAN KOTE WAMEKR MAGUFULI NI MTAMBO WA SHUGHULI NA MWINYI AKAFIKA MBALI ZAIDI KUTAKA KATIBA IBADILISHWE ILI MAGUFULI ATAWALE MUDA MREFU HALAFU WEWE MNYWA VIROBA UNACHONGOA DOMO LAKO KWA DHARAU INA MAANA UNAIJUA NCHI HII KULIKO MWINYI WEWE?????????Kazi gani ambayo ijawahi kufanywa na Rais yeyote,hiyo mikataba ya dharura au kazi gani yaani fisi,makinikia wanachekesha sana
KWA MWENDAWAZIMU KAMA WEWE HUWEZI KUELEWA MAGUFULI ANAFANYA NINI NDIYO MAANA WENYE AKILI TIMAMU WAMEIMARISHA ULINZI KWAKUWA WANAFAHAMU NINI KINACHOFANYIKA, KWAKO WEWE HATA UKIONA GARI LA WAGONJWA LINAKUJA KASI MBELE YAKO HUTALIPSHA KWA KUAMNI NI SISIMZI KWA AJILI HIYO HATA TUKIKESHA TUNAONGEA NA WEWE KAMWE HUTAELEWA MPAKA UNAPUMZIKA KWA AMANI, MARAS WENZAKE DUNAN KOTE WAMEKR MAGUFULI NI MTAMBO WA SHUGHULI NA MWINYI AKAFIKA MBALI ZAIDI KUTAKA KATIBA IBADILISHWE ILI MAGUFULI ATAWALE MUDA MREFU HALAFU WEWE MNYWA VIROBA UNACHONGOA DOMO LAKO KWA DHARAU INA MAANA UNAIJUA NCHI HII KULIKO MWINYI WEWE????????? WVU UNAKUSUMBUA ALYEPEWA KAPEWA MPE HESHMA YAKE MWSHO UTAMUONEA WVU HATA MUNGU KWA KUMUUMBA MAGUFUL BNDAMU NDYO TULVYOUMBWA ROHO SKUUME KLA MTU NA KARAMA YAKE HATA WEWE UNA SIFA AMBAZO MAGUFULI HANA KWA MFANO KUDHARAU KILA ANACHOFANYA MWENZAKO KWAKUWA HUJAKIFANYA WEWE MAGUFULI HYO SIFA HANA HUONI NA WEWE NI KIDUME KWA HILO???Sasa wewe umetumia akili gani hapo? Hivi unaelewa kweli ulichoandika au akili yako hapo ndiyo mwisho wake?
Mpumbavu ndie huwaza ujinga kama wako sehem aliopo rais ni sehem hatari kwa usalama wake hasa ukizingatia kazi nzito anafanya. Hata kifaru alipaswa awe nachoKwa mara yangu ya kwanza niliona bunduki zikiwa hadharani katika msafara wa Raisi wakati wa mazishi ya Marehemu Abeid Amani Karume.
Leo naona naona mtu aliyeshiba akiwa ametangulia mbele ya Rais na kidole kwenye trigger,nimeogopa!!!
Kama Taifa tupo katika hali ambayo si ya kawaida na viashiria hivi ni lazima vichunguzwe kwa makini. Kuna mahali tumekosea na kama hatutajisahihisha tutafika mahali ambapo hatukutegemea.
Acha ujing wewe unajuaje km wazee wa kazi hawapo huko!Picha ya sita, madirisha ghorofani yako wazi na hakuna mlinzi anayeonyesha kuwa concerned halafu mnatuambia ulinzi mkali?
sukari kutok 1800_3500Huyu ni rais, haigizi kitu!
Maigizo haya hapa chini.
View attachment 534914
Na haya hapa.
y
View attachment 534915
Bado watanzania wakakata, ni maneno mawili tu, KA TA.
uchumi wa nchi upo ICUPole kaka ila inabidi ujiandae tu kisaikolojia hii ngoma ni mpaka 2025 kwa Nchi yetu tulipokua tumefika tulikua tunaitaji Mzalendo kama JPM No way wanaoitakia mema nchi hii watanielewa. ..No deal tena mda wa deal ulishapita...huu ni Mwendo mdundo naiona Tanzania Mpya kama ilivyo Botwsana...GOD BLESS YOU JPM
Magufuli lazima awe na maadui wengi kuanzia ndani ya chama chake mpaka matajiri wasiokua wanasiasa, wapinzani na watu kibao wote lazima ni maadui wa Magufuli.Kwa mara yangu ya kwanza niliona bunduki zikiwa hadharani katika msafara wa Raisi wakati wa mazishi ya Marehemu Abeid Amani Karume.
Leo naona naona mtu aliyeshiba akiwa ametangulia mbele ya Rais na kidole kwenye trigger,nimeogopa!!!
Kama Taifa tupo katika hali ambayo si ya kawaida na viashiria hivi ni lazima vichunguzwe kwa makini. Kuna mahali tumekosea na kama hatutajisahihisha tutafika mahali ambapo hatukutegemea.
Jf ukiwa kwenye keyboard utajiita afisa usalama ila kimsingi hata ukidakwa na mgambo anakufikisha kituo cha polisi na hutafurukuta wala kutia mkwara kama unavyojifanya mchambuzi wa mambo ya usalama hapa jf.Nimeangalia sana ulinzi huu, inaonyesha wazi ni dhaifu usio na mbinu ya kumlinda rais hata kama wanawaangalia washabiki.
Haiwezekani rais anazungukwa na kundi kubwa la walinzi kiasi kwamba hata wao wenyewe hawawezi kuona vizuri walio nje ya mita tano kutoka kwenye mzingo.
Ulinzi wa ajabu sana huu
si ndio tunatoa elimu hiyo kwa mazwazwa wa ccm wenye akili fupi kama wewe?Okei, kwa nini msitumie hiyo fursa kuwahabarisha watz mchukue nchi 2020?? Mnalia lia nini??
Kazi gani ambayo ijawahi kufanywa na Rais yeyote,hiyo mikataba ya dharura au kazi gani yaani fisi,makinikia wanachekesha sana
labda ukadanganye wajinga wenzio wa kijani,kwan wakati ikiwa 1800 ilikuwa ikitoka mbinguni? yan nyie ma ccm mn akili finyu mnoSukari itashuka tu kuna viwanda zaidi ya vitatu in the track watch the space.
kwahiyo ndio mahitaji ya watz?Hiki kichwa balaa! Chadema wanaadhimisha miaka 2 sasa bila kuandamana
Yaani rais kwenda kuangalia mpira ndo CHADEMA wachachawe? What do you mean?hilo c ni tukio la kwaida tu au unafikir rais sio binadam km wew? Acha mihemukoKwa kasi hii CHADEMA lazima wachachawe.
Ni fundiMbona kakaa kwenye benchi la ufundi?
Blaza usijali maana unakuta hata huyo chinga wa karanga ameshapangwa kabisa na ni mtu wa system.