Hongera Boss kwa kuishinda wengine huwapata wanashindwa kujikontrol harafu pia kutokusema hata kwa rafiki zako wa karibu nalo ni tatizo kubwaDepression ni mbaya sana, imenisumbua sana miezi michache iliyopita nashukuru nimeishinda
Hongera Boss kwa kuishinda wengine huwapata wanashindwa kujikontrol harafu pia kutokusema hata kwa rafiki zako wa karibu nalo ni tatizo kubwaDepression ni mbaya sana, imenisumbua sana miezi michache iliyopita nashukuru nimeishinda
Wanachunguza kuna watu wengine hunyongwa na kuning'inizwa kama vile kajinyonga au mtu anaweza kukunywesha sumu ukafa harafu akaenda kukutundikaPolice huwa wanachunguza nn kwenye mwili wa waliojinyonga?? Maana hawatoaji majibu
Daah,usiwaze hivyo mkuu jitahidi kujichanganya na watu usipende kukaa pekee yakoNa experience the same, suicide thoughts are in my mind constantly, ila kwa uwezo wa Mungu ntayashinda
Daah!!Msongo wa mawazo ni ugonjwa hatari sana,mwezi wa tano mwaka huu kule Iramba MZEE mmoja alijinyonga Kwa Bahati watoto wakawahi kukata kamba wakamwokoa,akatiwa ndani akashtakiwa kwenye utetezi akajitetea vizuri akafungwa kifungo cha nje mwaka mmoja,katumikia mwezi tu akajinyinga tena safari hii hakuokolewa akafariki yote Hiyo ni MAWAZO tu yamemzidi hadi MTU anaona hakuna suluhisho zaidi ya kujiua
Ninachoshangaa watu wengi wanadhani ni mapenzi tu ndo yanasababisha suicide,Na experience the same, suicide thoughts are in my mind constantly, ila kwa uwezo wa Mungu ntayashinda
OkWanachunguza kuna watu wengine hunyongwa na kuning'inizwa kama vile kajinyonga au mtu anaweza kukunywesha sumu ukafa harafu akaenda kukutundika
Wanaume wa mkoani mnaonaga suluhisho ni kujiua tu
Achaa tu bro Ukiona MTU kafikia Atua ya Kujiua Usimcheke wala Kumuona mpumbavu...!! Depression killsDepression ni mbaya sana, imenisumbua sana miezi michache iliyopita nashukuru nimeishinda
Pole Sana mkuu...Chuo nimepata first round ila kweny first batch ya walio pata mkopo sipo na nyumbanii hali ngumu nimewaza snaaa kiasi cha kutaka kuruhusu ilo pepo linivamie ila nashukuru Mungu nimeweza kulishinda tuzidi kuombeana jamanii[emoji120]
Sio kila kitu ni mapenzi mkuu...!! Kuna watu wanakua na stress na hawaoni wa kuwasaidiaaMapenzi mabaya sana
Mkuu punguza strec mkop utapat second batch unawez pat chuo first selection ila mkop ukapat hata batch ya 3Chuo nimepata first round ila kweny first batch ya walio pata mkopo sipo na nyumbanii hali ngumu nimewaza snaaa kiasi cha kutaka kuruhusu ilo pepo linivamie ila nashukuru Mungu nimeweza kulishinda tuzidi kuombeana jamanii[emoji120]
khaaa we jamaa mbona tunatiana majarbun,Atakayevumilia mpa mwisho ndiye atakayeokoka
Mwingine uyo apo anadai kajiua kutokana na kukosa kodi ya nyumba. View attachment 902746