Mwanza: Mwanafunzi wa kidato cha 5 ajinyonga hadi kufa

Mwanza: Mwanafunzi wa kidato cha 5 ajinyonga hadi kufa

Nipo katika hiyo hali sasaa..! Namuomba sana Mungu niishinde
Bwana Yesu akutetee! Pole sana! Kila mtu anapitia shida yake, shida unayoipata wewe siyo wa kwanza na hautakuwa wa mwisho! Ishi maisha yako...wala usiyakatishe! Everything that happens, it happens for a good reason! Kwa hiyo chochote na lolote lile likitokea...ishi tu...Mungu atakufanyia njia tu. Hata kama siyo njia uliyokuwa umeitarajia!
 
Bwana Yesu akutetee! Pole sana! Kila mtu anapitia shida yake, shida unayoipata wewe siyo wa kwanza na hautakuwa wa mwisho! Ishi maisha yako...wala usiyakatishe! Everything that happens, it happens for a good reason! Kwa hiyo chochote na lolote lile likitokea...ishi tu...Mungu atakufanyia njia tu. Hata kama siyo njia uliyokuwa umeitarajia!
Nashukuru Sana mkuu...!! Sikudhani Kama naweza fikia hatua hii katika maisha yangu yote...Lakini Naomba sana mawazo haya yaishee...
 
Mwamini Mungu, pia jua kuwa hali ngumu unayoipitia na wengine wanaipitia. Kila jaribu huwa na mlango wa kutokea. When life gives you lemons, make lemonade! Unapendwa sana...usikatishe maisha yako tafadhali! Jesus loves you!
Ahsante sana mkuu kwa kweli nimesikia faraja kubwa snaa Nashukuru snaa
 
Nashukuru Sana mkuu...!! Sikudhani Kama naweza fikia hatua hii katika maisha yangu yote...Lakini Naomba sana mawazo haya yaishee...
Bwana Yesu akutetee! Hata kama unapitia magumu yaaje bado asubuhi mpya itafika! Hata kama ni kufa, ufe tarehe uliyopangiwa na siyo kujipangia. Kuna miujiza mingi huenda Mungu amepanga kukutendea kwenye magumu unayopita. Tafadhali mpendwa...ishi...Mungu anakupenda! Kuna watu wanakupenda hata kama unahisi waliokuzunguka hawakupendi! NINAKUOMBEA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA NYINGI!
 
Bwana Yesu akutetee! Hata kama unapitia magumu yaaje bado asubuhi mpya itafika! Hata kama ni kufa, ufe tarehe uliyopangiwa na siyo kujipangia. Kuna miujiza mingi huenda Mungu amepanga kukutendea kwenye magumu unayopita. Tafadhali mpendwa...ishi...Mungu anakupenda! Kuna watu wanakupenda hata kama unahisi waliokuzunguka hawakupendi! NINAKUOMBEA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA NYINGI!
Jumapili nataka niende kanisani Kumuona mchungaji mkuu...! I hope nitayashinda haya yotee
 
Ahsante sana mkuu kwa kweli nimesikia faraja kubwa snaa Nashukuru snaa
Karibu sana mkuu! Hata kama umezungukwa na watu wabaya, bado watu wema wapo! Endelea kuishi ili tukawatendee mema wengine...hata wakitulipa mabaya, MUNGU ATATURITHISHA MEMA!
 
Hakuna wa kumlaumu, ila depression, ni kitu kibaya sana, chanzo chaweza kuwa chochote including, mapenz, ugumu wa maisha, ugumu wa masomo, inferiority complex, nk
RIP young doctor to be, Huenda heaven au hell Kuna shule huko, ukajiendeleze mdogo wangi
 
Mi nilisoma pale sengerema kipindi nipo form one kuna mwanafunzi alijinyonga eneo hilo hilo pia shule ile ina vimbwanga vingi sijui tatizo ni nin maana tulikua tunakutana na mambo mengi ya ajabu maeneo ya shule usiku
 
Hakuna wa kumlaumu, ila depression, ni kitu kibaya sana, chanzo chaweza kuwa chochote including, mapenz, ugumu wa maisha, ugumu wa masomo, inferiority complex, nk
RIP young doctor to be, Huenda heaven au hell Kuna shule huko, ukajiendeleze mdogo wangi
Bora ugonjwa utakuua depression unaweza jiuaa unaona na ukaona ni sahihii
 
So sad...sijui nini kimepelekea ajiue
 
Tafadhal

Usipende kukaa mwenyewe ...

Hadi sasa unapumua ...

God still have plans for you ...

Nlitaka kujiua ....
Nlikua nshachukua dawa nimeze niondoke

Ghafla sms ... Ikaingia kwenye simu yangu ...

Whatsapp ... Inaonyesha august 22 2021 ...

Kilichoandikwa siri yangu ...

Sitaki kujisifia ...
Sikutaka kuonyesha mm ni nan hapana

Changamoto ndo zinazofanya maisha yaendelee

Nisingepata hizi changamoto ...

Nisingekua neuro scientist hivi sasa
Nisingepata scholarship

They made me strong

Never ever give up ... Usijaribu hicho kitu .... ..

Angalia watoto wa somalia hapo chini je ni bora kuliko

Lets thank God for this opportunity he has given us despite the fact we are facing many hardshipView attachment 903566View attachment 903567
😢😢😢
 
Back
Top Bottom