Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,535
kwani wewe unavyojua maendeleo ni nini?ina maana maenedeleo ni magorofa? Na hayo magorofa yamejengwa na serikali? Vilaza wa ccm ni wengi sana, sehemu kuna weza kukawa na nyumba zilizo ezekwa kwa majani lakini kukwa na maendeleo,