ni juavyo mimi maendeleo ni hatua kutoka sehemu fulani na kwenda sehemu nyengine.maendeleo yaweza kuwa hasi au chanya.maendeleo chanya ni kusogea kutoka katika hali duni ki maisha na kwenda kwenye hali yenye afueni kidogo.kuhusu kwamba ni nani kaendelea na nani hakuendelea huo ni mjadala mwengine.Kwahiyo maendeleo ni watu wachache wajenge maghorofa kwa hela za EPA MEREMETA na RICHMOND?
Mkuu kumbe Wizi kwa tafsiri nyingine huko CCM ni Maendeleo? kupakia Twiga na kumpeleka Oman halafu ukapata hela ukajenga Maghorofa hilo nalo ni maendeleo? Kuua tembo wetu ukachukua pembe ukauza ukapate hela halafu ukajenga kiwanda hayo pia ni maendeleo? CCM ni marehemuni juavyo mimi maendeleo ni hatua kutoka sehemu fulani na kwenda sehemu nyengine.maendeleo yaweza kuwa hasi au chanya.maendeleo chanya ni kusogea kutoka katika hali duni ki maisha na kwenda kwenye hali yenye afueni kidogo.kuhusu kwamba ni nani kaendelea na nani hakuendelea huo ni mjadala mwengine.
sijauliza ni kipi kiashiria cha maendeleo maana hivi viko vingi na inategemeana na mtizamo unaotumika kuyaangalia hayo maendeleo.mimi nimeuliza yeye anaelewa ni nini maendeleo hata akatae kuwa kujenga si maendeleo.Kiashirio cha kwanza na cha msingi ni kuboreka kwa maisha ya mwananchi wa chini kabisa.
Ina maana maenedeleo ni Magorofa? Na hayo Magorofa yamejengwa na Serikali? Vilaza wa CCM ni wengi sana, sehemu kuna weza kukawa na Nyumba zilizo ezekwa kwa majani lakini kukwa na maendeleo,
wewe nina uhakika umeelewa unachotaka sasa ni malumbano.Mkuu kumbe Wizi kwa tafsiri nyingine huko CCM ni Maendeleo? kupakia Twiga na kumpeleka Oman halafu ukapata hela ukajenga Maghorofa hilo nalo ni maendeleo? Kuua tembo wetu ukachukua pembe ukauza ukapate hela halafu ukajenga kiwanda hayo pia ni maendeleo? CCM ni marehemu
Ina maana maenedeleo ni
Magorofa? Na hayo Magorofa yamejengwa na Serikali? Vilaza wa CCM ni
wengi sana, sehemu kuna weza kukawa na Nyumba zilizo ezekwa kwa majani
lakini kukwa na maendeleo,
Nilichoelewa nikuwa hakuna maendeleo yeyote tuliyoyapata tokea tupate UHURU zaidi ya kuua hata vile tulivyoachiwa na Wakoloni kama Reli na Baadhi ya viwandawewe nina uhakika umeelewa unachotaka sasa ni malumbano.
ok! sawa. mungu katuumba akili hatufanani.hata tukipewaq mtihani wengine wanapata 90% wengine wana reseat.Nilichoelewa nikuwa hakuna maendeleo yeyote tuliyoyapata tokea tupate UHURU zaidi ya kuua hata vile tulivyoachiwa na Wakoloni kama Reli na Baadhi ya viwanda
Ni dhambi na kufuru kusema ccm haikuleta maendeleo katika miaka 50 iliyopita:target:
Ni aibu kubwa kwa Mangula ambaye ni mzoefu wa siasa za Tanzania,ilitakiwa ajipange kabla ya kuanza kusimama majukwaani maana Tanzania ya sasa si ile ya watu kukubali kila kitu wanachoambiwa.
Hili ni funzo kwa wanasiasa wote ambao hawana kitu mbadala cha kuwaambia wananchi ambao fikra zao zimebadilika na wanataka mabadiliko.