Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Umeamua kufurahisha genge, mikate hiyo ipo kibao mwanza.
 
Mkuu ujatafta tu ila ipo kibao mimi mzee wngu anaumwa kisukari na kila siku anatumia brown au hujatafta mwanza mjini
 
ni kweli kbsa mkuu ipo sana tu
 
Ndio maana nikazunguka sasa kote kule unako weza pata, wanao oka.mikate hawana, migajawa hawana, Super market hawana, sasa pengine unazani nilipaswa kwenda wapi?
Kwanza sipajui Mwanza, hivyo siwezi kukushauri, uende wapi.

Ila kwa maelezo yako, kumbe mwanza ni kamji kadogo sana, kama umepazunguka, na kuimaliza kisa mkate tu, huo ni mji mdogo.
 
Mi nahisi mwaka 2016 ndo mwisho wa kula mikate ...Kama nilikula hapo kati ndani ya miaka 6 haiwezi kuzidi mara 3.
 

Imebidi nicheke tu,unapata wapi courage ya kusema uwongo? Au ulitaka tujue huwa unakula Brown Bread utadhani ni kitu cha maana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…