Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Kama huwezi kujua watoto wanaokula samaki tena fresh kwa wingi ndiyo wanakuwa na akili zaidi.Ninachelewa hata kuhoji uelewa wako katika sayansi ya vyakula.Au unaona kula chips zege,tomato na pepsi baridi ndiyo kula chakula bora.
 
Acha masimngo na ulimbukeni usiokuwa na maana kijana,kila sehemu inautamaduni wake wa vyakula,kama ambavyo hauwezi kupata furu wa kubanika Washington ndio hivyo hivyo ulikosa brown bread Mwanza,uku kwetu asubui tunagonga chai ya maziwa na mahidi ya kuchemsha kwa raha zetu,hayo si jui ma brown bread peleke huko ule na wahidi wenzako,usirudie tena kulidhililisha jiji letu
 

Attachments

  • FB_IMG_1668071027284.jpg
    41.2 KB · Views: 17
Ni kweli kabisa ni patamu sana hasa mjini.
 
Nilipoenda Mara ya kwanza Mwanza, nilishangazwa sana na uwingi wa Mbwa
Mbwa ni kumwaga halafu hawana makali ukijikuna tu wanasepa....sema katika viumbe sipendi wanisogelee ni mbwa huwa napata tabu nikikutana na mbwa.

Asubuhi unakuta mbwa wanaongozana na watu kwenda makazini hiyo ni Rockdog city!!
 
nenda KULEANA ipo mingi tu
 
Mbona husemi wa Arusha? Au mmesahau kwenye kati2003na 2004 waliwahi kuua mtu Tena katikati ya Mji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vyema uwe na mtazamo mpana kuhusu vyakula visivyokobolewa, hata ngano yenyewe ukitengeneza bulgur ni chakula kizuri na kitamu kinachotokana na ngano isiyokobolewa, pia kuna pilau ya mtama usiokobolewa, au unaweza kupikwa kama wali ni chakula kizuri sana na bora mwilini kinaliwa sana maeneo ya India, bangladesh,pakistan na maeneo ya yote ya ukanda huo.
 
Una matatizo ya Akili
 
Mwanza walibebwabebwa na mwendazake wakajikuta eti na wao wanajua. Takataka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…