Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

mpk

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
3,115
Reaction score
3,864
Huku viongozi waandamizi wakianza kuwasili hapa Mwanza wakiongozwa na Kamanda wa anga Freeman Mbowe, jiji hilo linatarajiwa kutikisika kesho pale atakapowasili mwanasiasa mashuhuri baada ya Mwl Nyerere, Edward Ngoyai Lowassa kuhudhuria vikao vikuu vya chama.
Taarifa za ndani zinasema nguri huyo wa siasa za nchi hii atawasili Ijumaa mchana au Jumamosi asubuhi. Baada ya hapo Jumapili jioni atauhutubia viwanja vya furahisha kushukuru wananchi wa Mwanza kwa kumpa kura nyingi na kutambulishwa kwa katibu mkuu mpya. Tv nyingi za nchi hii zitakuwa live siku hiyo.
 
Lazima utingishike, watu watakuwa wanaogopa KUIBIWA, wee piga picha wakaI wooote wa mwanza wanakimbilia majumbani kwao kwa wakati mmoja, lazima kutetemeke.
 
Lowasa Mungu akulinde tunakupenda sana tunazidi kukuombea Mungu akupe maisha marefu.
 
Tafuteni kick nyingine #hapa kazi tu majungu yenu huko huko
 
Hi wewe mbona uko bize kutupa taarifa zisizo na maana?!
 
ikitingishika itakuwa tetemeko la ardhi
 
Baada ya kuikamata dar naona wanafocuss mwanza....
Waaaaaasukuma wagumu
 
Umenena vema Mkuu!! Baada ya Nyerere ni Lowasa pia hakuna Kiongoz mwenye Heshima kubwa kwa Afrika Mashariki kumzid Ngoyai Edward Lowasa...Rais anaetambuliwa na Mungu kwa Tanzania
Hivi zile tuzo vipi??
 
Naomba kuuliza, Lowassa ana cheo gani cha uongozi ndani ya Chadema?
 
na itingishike mpaka yale mawe ziwa victoria ya dodondoke nyambafff!!!!!!!
 
Bado watu hawajachoka kutingishwa na Lowassa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…