Mwanza imeharibika kwa ukahaba

Kuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa kike waliopo bwwnu sijui kama serikali hailioni hili au ndio kupuuzia.
Acha ujinga. Wewe utakuwa jogoo hapandi mtungi ama mchicha mwiba.
 
Kuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa kike waliopo bwwnu sijui kama serikali hailioni hili au ndio kupuuzia.
MI SIAMINI MPAKA NIONE PICHA YAO INAFANANAJE
 
Mkuu pale kitambo sana kuna siku nilipita nikaona kuna dada poa flan hv amewaita madogo 3 age ya hao madogo haizidi kidato cha pili akaenda nao wote ndani kwa buku 5 .Yani ule mtaa vijana wadogo walishajifunza kununua malaya ata sikuzingine wanakufata ukipita wanasema ata kwa buku 3 wanakubali.
Ukiwa mteja unapewa bao mbili za bure kuanzia 3 hadi 9 ndio hela
 
True..

Hawa wa mtaani haupimi na siku ya kwanza ndomu,siku ya pili mnapimana kwa macho mnateleza kavukavu unasimamia show mnachubuana unachukua AIDS.

STD's unazoweza kuchukuwa kwa hawa ni herpes kama utavua boxer.

Lol! Umenikumbusha mbali, kuna rafiki yangu alipata hiyo herpes nilimuhurumia maana alipata blisters sehemu nyeti za mwili na alivyokuwa mweupe we acha tu.

But thanks God alipona, alitumia vidonge vya kutibu HIV akakaa sawa. Condom muhimu sana hasa pale unapokutana na mtu ambaye humfahamu kiundani.
 
Back
Top Bottom