Marley joseph
Senior Member
- Feb 9, 2019
- 126
- 137
Kuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa kike waliopo bwwnu sijui kama serikali hailioni hili au ndio kupuuzia.