Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Sana, wanajjheshimu sanašMmh mbona hata mchana wapo kwenye hizo guest hapo hapo hao makahaba wa Mwanza Nyegezi ni wasitaarabu na wako peace sana, paka uwasogelea mwenyewe, hawatukani mtu wala kumkera kabisa.