Mwanza hii ni aibu

Mwanza hii ni aibu

Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Mkuu toka na bango siku hiyo umwambie mama kabisa
 
Huu unafiki ulianzia shuleni, siku za sherehe kama graduation ndio usafi na mapambo yanafanyika
Siyo shuleni ni nyumbani. Mkisikia baba anakuja ndiyo mnaanza kupanga viti na kuweka mwonekano safi wa sebule na kujifanyisha fanyisha vijikazi visivyo na kichwa wala miguu. Imo kwenye damu hii tabia
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitetea ni ukweli kabisa
Makongoro road taa zilikua haziawaki
Kenyata road kuanzia pale stand ya igombe had round about ya ccm kwenda nyerere road wamefunga taa za bulb ambazo zinawaka siku nzima.
Wanafanya maigizo tu hakuna jipya hapo
Hawa wapumbavu wa Halmashauri sijui wanakwama wapi kwenye kulipa bili za umeme afu wakuu wa mikoa wapo

Ni miji mingi Sana Tzn kuna hii tabia ambapo taa haziwaki kila siku ila kuliwa na ziara wanaziwasha huu ni upuuzi.

Hata huku kwetu Sumbawanga kuna taa za two way ya zamani na barabara nyingine za mjini kama barabara ya kwenda mkoani taa zimezimwa,zinawaka za Sola tuu nazo zikiharibika no repair

Unashindwa kuelewa kama Kazi ya hizi taa ni nini sasa ,kama ni mzigo zisiwekwe kabisa tuishi giza.

Dar karibu taa zote huwaka huku kwingine vipi
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Kawaida yetu sie, usafi ni hadi tusikie kuna mgeni. Dah ni shida kweli....
 
Usitetea ni ukweli kabisa
Makongoro road taa zilikua haziawaki
Kenyata road kuanzia pale stand ya igombe had round about ya ccm kwenda nyerere road wamefunga taa za bulb ambazo zinawaka siku nzima.
Wanafanya maigizo tu hakuna jipya hapo
Vipi kama ni kwajili ya usalama mkuu nasio kuhadaa mtu?
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Kwanini mnanikumbusha zile ziara za awamu ya nne?
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Hili ni jambo la kawaida mkuu.
 
Mama mwenyewe atafanya ziara na helkopta huko hapitagi barabarani yule

Hata hivyo mwanza haina hadhi ya jiji ni miongoni mwa majiji ya hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom