Mwanza hii ni aibu

Mwanza hii ni aibu

Na hiyo ni Tanzania hata yeye anaesema Akiambiwa leo anamgeni anaemuamini atabadili nguo na atatumia vyombo vinayokaaga kwenye kabati siku zote.
So soni kama ni jipya hili maana hata tulipokuwa shule za msingi tulikuwa tukipata wageni tunapanga mawe na kuweka chokaa juu.
So hiyo ndio Tanzania

Cc: Mwendazake
 
Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote.
Mmmh kwani anafanya ziara usiku?

Ungwewka picha ingenoga zaidi
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Tuwekee picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U
Vipi kama ni kwajili ya usalama mkuu nasio kuhadaa mtu?
Usalama siku za ziara ya muheshimiwa tu?
Na kwa nn zile taa za nyegezi road hadi buhongwa hazijawasha na barabara ya musoma kuanzia mabatini huko hawahitaji usalama?
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Andaeni mabango msanue kero wengine wapate mashavu
 
Baada ya raisi kuondoka wamezitoa bulb zao uchwara haki ya nani mamlaka zinazohusika ziache maigizo yao ya kipuuzi
Kuna haja ya kuwawajibisha watu kwa kumhadaa Rais
 
Back
Top Bottom