Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 973
Hahahahhah uliambiwa huku kariakoo?
tatizo nini kila kitu mwanza vs arusha...kama mnaamini arusha ipo juu kapambanishe na dsm au Nairobi. ...cha ajabu kila siku mnafananisha mwanza na arusha...arusha haiwezi kuifikia mwanza hata Kdogo unatishwa na hotel za makazi ya popoWadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
watu wa arusha msipopambanisha mji wenu na mwanza mnawashwa sana....mkikaa huko mnaamini mji wenu umekamilika...Ila mkija mwanza mnajiona duni kinachobaki ni kutafta kasoro ya mwanza
Nimefanya dhambi mkuu, Chuga nomaAlaf ebu acha kulinganisha
Jj la R chuga na wilaya ya hawa waskuma washamba
Wa mwisho
Hapana mkuu sikushukia usagara nilishukia Nyege-zi nikapanda Hiace mpaka mjini,.mkuu utakuwa umeshukia usagara kesho panda gari uje mjini utaipata hiyo kamera.
Siku nyingine usirudie kushuka bila kuuliza kama umefika kama hiyo sehem huijui
Haaaaaaaaa umenifanya nicheke, ndugu wane, wabeja Sana.Ila kwenye ushamba sina mashaka napo kabisa
Nimeishi Mwanza miaka mi3 nikiwa kama Camera Man nimekuwa nikipata aina zoooote za Camera hapao mjini bila kujali ukubwa. Ninamshaka na Mwanza yako wenda umefikia Sengerema unajisibu upo Mwanza. Mzee nenda City Centre upate huduma zoote hapo.Wadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
sasa si uende huko Arusha.
Itakua umeshukia usagara ww...macamera yamejaa pale Semira electronics mtaa wa liberty kwa mchaga anaitwa flender Lema na ndiye mmiliki wa villa parkWadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
We jamaa kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wako.Wadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
Inashangaza sana ukiangalia ugumu uliopo kimawasiliano kati ya Mwanza na Arusha halafu limit tu linakuja huku kudai sijui Mwanza nini, umepita mikoa mingapi kufika Mwanza?, mbona hata Miji ya Moshi, Tanga, Dodoma, Morogoro na Dar ndo iko karibu kuliko kuzunguka all ze way to Mwanza? Kiazi tu wewe.Kama Arusha kuna unachohitaji,mwanza ulifata nini!
Haaaaaaaa imebidi ncheke sana, sio lazima muha aishi Kigoma, kigoma nimezaliwa tu my bro,We jamaa kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wako.
Kwanini usinge nunulia hivyo vitu huko arusha kama kweli unafaham vinapatikana arusha? Kwanini ukaamua kufunga safari toka Arusha hadi Mwanza?
Halafu Muha na Arusha wapi na wapi.
Mwanza ni mj wa miamba na mahali oa mapumziko sie zetu mitubwi camera ndo nini?? Vitendea kazi vyetu Nyavu na jembe.Wadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
Ukitaka mapanki, vimambala, Sato, vi furu, vi nembe vyote unapata..... Wewe tuAka Mapanki
Atakua kutafuta kule ngudu huyu potiNimeishi Mwanza miaka mi3 nikiwa kama Camera Man nimekuwa nikipata aina zoooote za Camera hapao mjini bila kujali ukubwa. Ninamshaka na Mwanza yako wenda umefikia Sengerema unajisibu upo Mwanza. Mzee nenda City Centre upate huduma zoote hapo.
Unasemea Kibiti au Dar???oya acha kufananisha kitongoji hicho cha arusha na jiji utachekwa labda umefikia magu ndo unasema mwanza mwanza miaka mitano ijayoitakuwa kama dar