Daniel son
Member
- Jun 6, 2017
- 24
- 23
Kama vipo Arusha si ukachukue au uliijia mimba mwanza watakudunga kweli
Hata Buhongwa hajafika, huyo kashukia Misungwi afu anatusumbua hapaNyoko umeshukia Buhongwa halafu unahitimisha eti maduka ya vifaa hivyo hakuna? Tuliza akili Jumanne uzunguke mitaa yote, vifaa hivyo vipo!
Hizo ni ndoto, wala siko Magu, Niko hapa NERA SToya acha kufananisha kitongoji hicho cha arusha na jiji utachekwa labda umefikia magu ndo unasema mwanza mwanza miaka mitano ijayoitakuwa kama dar
Tusigombane wenyewe kwa wenyewe....nchi yetu sote.. enjoy
Wadau habari za jioni!
Tangu jana niko kwwnye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta Vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka MWANZA hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha mwanza Na Arusha pls.
Iko mtaa gani?Ulifika QS??? Au umeamua tu kuchafua mkoa wetu
Benson,anachakachua vifaa vyake, km huamini basi, lakini pia bei yake niya kwake mwenyewe.Hivi umetoka Arusha kweli kupita hapo kwa Benson na uhuru road yote kununua camera mpaka uende mwanza?
kugombania fito.Tusigombane wenyewe kwa wenyewe....nchi yetu sote.. enjoy
Umetoka Arusha kufuata hivyo vitu Mwanza!Wadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
Dar sijui itakuwa wapi!! Dar inakua kwa kasi ya ajabu sana!oya acha kufananisha kitongoji hicho cha arusha na jiji utachekwa labda umefikia magu ndo unasema mwanza mwanza miaka mitano ijayoitakuwa kama dar