Mwanza hapafai, msilinganishe na Arusha

Nyoko umeshukia Buhongwa halafu unahitimisha eti maduka ya vifaa hivyo hakuna? Tuliza akili Jumanne uzunguke mitaa yote, vifaa hivyo vipo!
Hata Buhongwa hajafika, huyo kashukia Misungwi afu anatusumbua hapa
 
oya acha kufananisha kitongoji hicho cha arusha na jiji utachekwa labda umefikia magu ndo unasema mwanza mwanza miaka mitano ijayoitakuwa kama dar
Hizo ni ndoto, wala siko Magu, Niko hapa NERA ST
 
[HASHTAG]#ras[/HASHTAG] Ngoja Yagombane Ushindani Huleta Maendeleo Lakini Mwanza Haishindi Tanga Kimandhari,viwanda,mijengo Na Utalii Nk Povu Sitaki
 
Wadau habari za jioni!
Tangu jana niko kwwnye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta Vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka MWANZA hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha

Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha mwanza Na Arusha pls.

Hivi umetoka Arusha kweli kupita hapo kwa Benson na uhuru road yote kununua camera mpaka uende mwanza?
 
Video camera!!!!!???? Kwa nini usishirikishe madaktari labda watakusaidia matibabu ya kaugonjwa kako ka kibashite? Maana umefikia hatua unavaa sun gogoz kisha unakojoa mchana kweupeeee ukifikilia saa sita usiku!!!
 
Wadau habari za jioni,

Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.

Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.

Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
Umetoka Arusha kufuata hivyo vitu Mwanza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom