Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Hivi sasa ktk ya jiji la Mwanza kuna tahaluki kubwa, watu,magari yanakimbia ovyo,shughuli karibu zote zimefungwa. Kama mtakumbuka wana JF hapa Mwanza kumekuwa na mvutano wa kiiman kati ya waislam na wakristo uliopelekea kuchomwa moto kwa kitabu kitakatifu (kuruan) na kuchomwa moto kwa kanisa.
Leo ndo ilikuwa siku ambayo kesi ilikuwa inasikilizwa mahakaman na ndo vurugi hii ilipoanzia, hadi napost habari hii sijapata kujua ni nini chanzo hasa cha vurugu hizi kutokea hapo mahakaman na kusambaa hadi ktk ya jiji.
Leo ndo ilikuwa siku ambayo kesi ilikuwa inasikilizwa mahakaman na ndo vurugi hii ilipoanzia, hadi napost habari hii sijapata kujua ni nini chanzo hasa cha vurugu hizi kutokea hapo mahakaman na kusambaa hadi ktk ya jiji.