Mwanza City: The Photo Gallery

maxresdefault.jpg
 
IMG_20191015_133247.jpg
IMG_20191015_133306.jpg
IMG_20191015_133258.jpg
IMG_20191015_133232.jpg

Mchoro wa itakavyokuwa stendi mpya ya mabasi, yatokayo mikoa iliyopo upande wa Mashariki na kaskazin Mashariki mwa mji wa Mwanza pamoja na nchi jirani ya Kenya (Musoma, Sirari, Bariadi, Nairobi , Serengeti, Mombasa) ,ujenzi ushaanza eneo la Kona ya Nyamhongoro, na mkandarasi yupo site day and night...

Zamani stendi hii ilikuwepo eneo la Buzuruga , na Punde stendi mpya itakapokamilika , stendi ya Buzuruga itabadilishwa matumizi....
 
Mji ambao hauna bugha za maisha & wenye simple life... mji ambao mtu wa kwanza kuamka kwenda kazini ana amka saa 12 asubuhi. safi sana. dar watu wako utumwani , watu wanakimbilia daladala utazani wameona kifo hivyo wanataka kujiokoa.
 
Back
Top Bottom