Kapi hakoMwanza inakuwa kwa kasi sana, naimani nami nikimaliza ka mjengo kangu, katanogesha zaidi mwonekano wa mwanza mpya
Hizo ni apartments mkuu (duplex apartment)Wakuu nimepata picha yake...... Ni haya hapa majengo matatu kando ya malaika..... Yanavutia kiukweli kama ukiyaona..... Naomba anayeyajua anijulishe ni ya nnView attachment 1296428
Sent using Jamii Forums mobile app
(Office, hotel,residents, nk)
Ndio maana nikakwambia wewe ni kiazi, hii thread inazungumzia jiji la Mwanza we unakuja na mambo ya Arusha we mzima kiakili?
Arusha kuna five star hotels sasa inatuhusu nini kwenye thread ya Mwanza City Gallery?
Ooh asante sana mkuuHizo ni apartments mkuu (duplex apartment)
Project gan hii mkuu.... Tupe maelezo kidogo
Hizo ni apartments mkuu (duplex apartment)
ya mzee cheyoWakuu nimepata picha yake...... Ni haya hapa majengo matatu kando ya malaika..... Yanavutia kiukweli kama ukiyaona..... Naomba anayeyajua anijulishe ni ya nnView attachment 1296428
Sent using Jamii Forums mobile app
(Office, hotel,residents, nk)
Tuletee images mzee babaHIYO MBONA IMESHAKAMILIKA MKUU , NI BOT =MWANZA BRANCH
Hapana mkuu halipo hivyo..... Si unasemea jengo jipya la BOT lililopo mitaa ya clinicHIYO MBONA IMESHAKAMILIKA MKUU , NI BOT =MWANZA BRANCH
Nadhani mitaa ya Nera ukielekea kirumba hivi....... Sema picha zimepigwa ukiwa upande wa ziwani hivi....View attachment 1297162Wenyeji mnielekeze mitaa gani hii View attachment 1297159
Hiyo picha ya pili mbona kama vile unatokea Mkuyuni kabla haujafika mwanza South/SaharaNadhani mitaa ya Nera ukielekea kirumba hivi....... Sema picha zimepigwa ukiwa upande wa ziwani hivi....