Dr tupa
Senior Member
- Apr 30, 2017
- 194
- 129
Picha ya pili umeipiga kwa ustadi mkubwa. It's a first class view. Ninaona kama Manhattan (NY) au Mainhattan (Frankfurt) vile, kumbe ni Capri Point.
Kuna tatizo gani hapo??
Nyumba za nyasi mkuu duhMwanza City 1907 kwa mbali Capripoint kwa wakishua!!!View attachment 1050664
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi sana kuona mandhari ya awali ya Mji wa Mwanza ulioanzishwa na Wajerumani mwaka 1890.Mwanza City 1907 kwa mbali Capripoint kwa wakishua!!!View attachment 1050664
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kumbe hapo awali kilikuwa kijiji tu?Mwanza City 1907 kwa mbali Capripoint kwa wakishua!!!View attachment 1050664
Sent using Jamii Forums mobile app
Mji ambao umedumaa ni Tanga.Una masterplan nzuri lakini haukui kimaendeleo.Nimefurahi sana kuona mandhari ya awali ya Mji wa Mwanza ulioanzishwa na Wajerumani mwaka 1890.
Mji huu ulianza kukua kwa kasi baada ya kuunganishwa mwaka 1928 kwa Reli ya Kati, junction ya Tabora - Mwanza. Aisha, kilimo cha pamba kilichoshamiri Kanda ya Ziwa baada ya WW II (1940s) kiliukuza maradufu mji huo.
Kufikia kipindi cha uhuru mwaka 1961, Mwanza ulikuwa tayari wa nne kwa ukubwa nyuma ya Dar, Tanga na Zanzibar lakini by 1980 Mwanza ulikuwa tayari wa pili kwa ukubwa na tangu hapo haijarudi nyuma. Ulikuwa mji wa pili nchini kupewa hadhi ya jiji mwaka 2002.
Its (the City) present population is approaching 1,000,000 residents.
Ulishawahi kuona picha ya kariakoo ya miakanya 1950's mkuu?Ni balaa