Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,402
- 7,567
nhc buswelu - ilemela
Hili jengo kulia siyo refu sana kama yale ya Kenyatta Road lakini still mi naona kama ndilo linalovutia sana Mjini Mwanza likiwa at par na lile la NSSF (Belmonte Hotel) pale Kenyatta Road. I stand to be collected though.
Morogoro bado sana na imepata kikwazo kingine kikubwa sana mkuu Dodoma imekuwa jiji hivyo morogoro itaendelea kuwa manispaa kwa miaka mingi sana ijayo.Ukubwa wa ma jiji ni km ifuatavo
Dar es salaaam
Mwanza
Arusha
Tanga
Mbeya
Dodoma
Mikoa ambayo siku za usoni itakuja kua na hadhi ya jiji
Moshi (KLM)
Morogoro
Iringa
picha ya kwanza hapo juu ianonyesha vizuri jengo jpya la BOT ambalo ujenzi wake bado unaendelea