Mwanza City: The Photo Gallery

nhc buswelu - ilemela
1546741031398.png

1546741038623.png

1546741018833.png
1546741020724.png
 
Ukubwa wa ma jiji ni km ifuatavo
Dar es salaaam
Mwanza
Arusha
Tanga
Mbeya
Dodoma

Mikoa ambayo siku za usoni itakuja kua na hadhi ya jiji
Moshi (KLM)
Morogoro
Iringa
Morogoro bado sana na imepata kikwazo kingine kikubwa sana mkuu Dodoma imekuwa jiji hivyo morogoro itaendelea kuwa manispaa kwa miaka mingi sana ijayo.
.
Ni sawa na geita ilivyoiwahi kahama kuwa mkoa, kahama ipo karibu sana na geita hivyo na yenyewe itachukua miaka hata 70 kuwa mkoa
 
picha ya kwanza hapo juu ianonyesha vizuri jengo jpya la BOT ambalo ujenzi wake bado unaendelea
 
Back
Top Bottom