Mwanza City: The Photo Gallery

Nitafurahi sana siku NHC wakija na Project kama hizi pale kwenye milima ya Igogo na Bugarika.
 
Mwaka 2026 mwanzon mirad ifuatato itakuwa imeisha
1.meli ya mv mwanza
2.daraja la kigongo busisi
3.soko kuu la mjini Kati
4.soko kuu la samaki mswahili
5.soko kuu la kirumba
6.barabara ya Buhongwa Hadi igoma
7.barabara ya buswelu nyamhongolo
8.barabara ya mkuyuni mahina
9.reli ya kisasa mwanza isaka
10.machinga complex mchafukuoga
Miradi ambayo itakuwa kwenye utekelezaji
1.barabara ya njia nne mwanza mjini to mwanangwa
2.barabara ya airport to nyanguge
3.ujenzi wa dry port pale fela
4.ujenzi wa barabara njia nne mwanza mjini Hadi nyanguge
5.extension ya mradi wa maji butimba phase 2
6.baadhi ya ujenzi wa magorofa ya nhc pamoja na mashirika mengine ya umma kama NSSF
7.jengo kubwa la kitega uchumi buzuruga
8.kuundwa kwa manispaa ya kisesa na ujenzi wa ofisi za umma kwenye manispaa hiyo
 
Unayajuaje haya, mengine ya ndani sana mkuu🤣🤣
 
Hao nhc huwa hawana urafiki na Mwanza hizo miradi za NHC sizan kama zitakuwepo lakini mengine uliyotaja uhakika 75%.
 
Mradi wa Tampere park
 
Nimeshaelewa sana concept ya serikali kujenga barabara ya njia nne kutoka Mwanza mjini Hadi mwanangwa kumbe pale mwanangwa kuna barabara ya shortcut kwenda kahama kupitia solwa upembuzi wake umeisha hyo barabara ikiisha kujengwa magari yataongezeka sana na usafir wa kutoka Mwanza kwenda kahama utakuwa umepunguzwa kwa zaid ya km 150
 
Siku ya kesho ndo itafanya haya mambo yawezekane pale kwny uwanja wa jamhuri Dodoma
Growth rate ya population ni 5.3% annually...ukipiga Kwa miaka kumi Toka 2012 ,,idadi ya watu walioongezeka Ni kama 400000 ...ukichukua laki nne ukaplus laki 7 .. utapata milion 1.1 .hyo ndio population ya mwanza now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya design mbovu za uwanja wa ndege ........hivi hicho kijengo kweli,,,ni Cha kujengwa Kwa viwanja vya kimataifa kweli ,hii serikali hawako serious ....hii design Tayari ishapitwa na wakati hata kabla haujajengwa.... msalato airport...
serikali yetu inafeli sana kuchagua design nzuri za miradi ... ukiangalia flyover, interchange za pale ubungo na tazara ni utopolo tu ,,,ukicheki BRT ,wameweka mazege tu hata haipendezi,,,kidogo terminal 3 ,na stendi wamejitahidi ila mingine chenga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watani zetu arusha... growth rate ya population... imeendelea kuwa low ... Kuanzia mwaka 2004 ,wanatembea na 2 % ....Kwa makadirio ya UN . population Yao kesho ni hii


Sent using Jamii Forums mobile app
 




Kuna ajali imetokea maeneo ya nyakato sokoni asubhi , ikihusisha Magari matano , nafkr tatizo ni matumizi ya taa za barabarani zilizowekewa pale junction ya kuchepukia kwenda meco , na Ile inayounganisha kwenda buzuruga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…