Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Santorini.greece ... viongozi wetu hawaendi kujifunza bas hata smartphone zao haziwasaidii kuona haya..
NHC ,TBA,CITY COUNCIL.walikuwa na uwezo wa kuingia hata ubia na private sector wakajenga apartment kama hzi kwenye milima yote iliyopo city center..na apartment zote zingepata wapangaji ...
1665159597571.jpg
1665159563697.jpg
1665159583993.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Santorini.greece ... viongozi wetu hawaendi kujifunza bas hata smartphone zao haziwasaidii kuona haya..
NHC ,TBA,CITY COUNCIL.walikuwa na uwezo wa kuingia hata ubia na private sector wakajenga apartment kama hzi kwenye milima yote iliyopo city center..na apartment zote zingepata wapangaji ...
View attachment 2380027View attachment 2380028View attachment 2380029

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Na ujenzi wa namna hii hauna gharama zozote ...wachukue billion 10 za kuhamisha na kulipa fidia watu ...watafute billion zingine kama 200 za kujenga hiz apartment..hela zinapatikana kupitia
Wawekezaji,mikopo Toka taasisi za kifedha ,ubia, municipal bond au mapato ya ndani .

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tatizo viongozi wapo wapo tu, wanachowaza sijui ni nini?
Santorini.greece ... viongozi wetu hawaendi kujifunza bas hata smartphone zao haziwasaidii kuona haya..
NHC ,TBA,CITY COUNCIL.walikuwa na uwezo wa kuingia hata ubia na private sector wakajenga apartment kama hzi kwenye milima yote iliyopo city center..na apartment zote zingepata wapangaji ...
View attachment 2380027View attachment 2380028View attachment 2380029

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwa mikoa km dar, dodom na arush huwez kuwabeza sanukilinganish na mwanza
Dodoma wana mradi mmoja .unaitwa medeli town ...pale kidogo Pana uafadhali ....ila NHC Iko kizaman..katika masharika ambayo yako outdated ni NHC ..wana miradi amabayo haiendani na majiji kabisa ..anagalia nyumba 5000 pale kisasa ...Ni aibu Kwa makao makuu kujengewa vijumba vile ..... NSSSF Huwa wanajitahidi sana kwenye investment zao ......NHC mradi wao mmoja tu ndio mzuri .morroco square pale dar .

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂 miradi mikubwa yote ni dar.
Nadhn haw wako kibiashr zaid sabb yao itakua n uhitaj mkubw uliopo dar wa nyumb na wanauza san ukilinganish na population iliopo na little expensive ndo maan wanaangalia san kule,nmeon wameanz kujenga arush apartments more than ten floor buildings wanajua watu weng wanaofik arush n wagen wapo kw mda na wanaitaj nyumb km izo lkn wazungu na wagen kutok nchZa nje wanapend ivo, dodom pia coz nchi inahamia kule na uhitaj wa nyumb n mkubwa
 
Nadhn haw wako kibiashr zaid sabb yao itakua n uhitaj mkubw uliopo dar wa nyumb na wanauza san ukilinganish na population iliopo na little expensive ndo maan wanaangalia san kule,nmeon wameanz kujenga arush apartments more than ten floor buildings wanajua watu weng wanaofik arush n wagen wapo kw mda na wanaitaj nyumb km izo lkn wazungu na wagen kutok nchZa nje wanapend ivo, dodom pia coz nchi inahamia kule na uhitaj wa nyumb n mkubwa
Walisem wanaanz na iyo mikoa 3 then watakuj mwanz kutokn na uitaj uliopo
 
Yaani..NHC hata wasije japokuwa walishawahi kuwa na mpango wa kujenga jengo refu kuliko yote mwanza ....acha watu na mashirika binafsi waje wawekeze .sio lazima serikali

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
em fikilia mwanz n mkoa ambao umekua haun investments kutok kwen mashirik meng hasa kwen nyumb za maoffice na nyumb za kuish (apartments ) piga pich ingekua kinyume chke kwmba mashirk yawekez unadhn ingekuaje...wote wanaitajik san
 
em fikilia mwanz n mkoa ambao umekua haun investments kutok kwen mashirik meng hasa kwen nyumb za maoffice na nyumb za kuish (apartments ) piga pich ingekua kinyume chke kwmba mashirk yawekez unadhn ingekuaje...wote wanaitajik san
Uwekezaji upo..Kwan nssf ,psssf ,si wana majengo makubwa tu ya kibiashara.. psssf Hadi wamejenga mall kupitia LAPF ,hata NHC wana nyumba buswelu ,..lakin sio lazima wao waje wajengee.kikubwa tunahitaji private sector ndo wana vitu vizuri kuliko public mfano ona hzi apartment
JamiiForums-158471847.jpg
JamiiForums1619765739.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Yaani..NHC hata wasije japokuwa walishawahi kuwa na mpango wa kujenga jengo refu kuliko yote mwanza ....acha watu na mashirika binafsi waje wawekeze .sio lazima serikali

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Km umeangalia miji ming hap nchin NHC wana viwanja ving San katkat ya miji na majengo meng maoffice na apartments ila n majengo ya mda san yalikua mazur kipind icho kulingan na kipind icho ila sas hayaonekn km yanafaa na hayaendan na kipind hiki kwhio n swal la wao kujenga upya au kufany innovation ili yaendane na miji ya kisas au kipind hiki....ila uksem wasje meanz yale magofu na ivo viwanja vibak katkt ya mji namuonekn huo unaouona sas
 
Km umeangalia miji ming hap nchin NHC wana viwanja ving San katkat ya miji na majengo meng maoffice na apartments ila n majengo ya mda san yalikua mazur kipind icho kulingan na kipind icho ila sas hayaonekn km yanafaa na hayaendan na kipind hiki kwhio n swal la wao kujenga upya au kufany innovation ili yaendane na miji ya kisas au kipind hiki....ila uksem wasje meanz yale magofu na ivo viwanja vibak katkt ya mji namuonekn huo unaouona sas
Waingie ubia na wawekezaji...juzi nilisikia wamezindua ubia na private sector.labda hapa ndo watachangamka na kuja na vitu vizuri.otherwise investment scheme zao haziihitajiki Karne hii .hayo majengo yamilikiwe kupitia mfuko wa REITs yaani real estate investment trust Kwa kushirikiana na DSE watu wanunue hisa za umiliki wa property za NHC

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hizi nyumba n Za bei nafuu na ilikua phase 1 phase 2 n nyumba za gorofa 4 km umeona
Si kama za medeli pale ...au..kwani ukijenga apartment nzuri hata kama sio za ghorofa haziwezi kuwa bei nafuu ..mbona nchi nyingine wa bei nafuu ndo wanakaa maghorofani sasa ..

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom