Mwanza City: The Photo Gallery

Hilimradi wa kanisa la kawekamo unaendelea vzur sana na tarehe 5/11/2022 kutakuwa na changizo kubwa sana kwa ajili ya kumalizia nilimsikia askofu nkwande anasema kanisa litagharimu bilion 8
Kwa sasa Tanzania kuna kanisa la gharama zaidi ya b8
 
Hii ni budget ya wizara ya ujenzi mwaka 2022/23.
Kifungu no. 72 kinailezea hiyo barabara ya Mwanza/Shinyanga..
 
Huu mrad wa green city kwa majiji ya mwanza kama upo serious Sana jamaa watatoa euro milion 75 kwa ajili ya majiji 3 mwanza,tanga na pemba lengo ni kuboresha miundombinu pamoja na masoko sasa sijajua kwa exchange rate euro 75m ni sawa na bn ngp
 
Huu mrad wa green city kwa majiji ya mwanza kama upo serious Sana jamaa watatoa euro milion 75 kwa ajili ya majiji 3 mwanza,tanga na pemba lengo ni kuboresha miundombinu pamoja na masoko sasa sijajua kwa exchange rate euro 75m ni sawa na bn ngp
ilemela wakipata hzo pesa wajenge jengo la kitega uchumi pale buzuruga then pesa nyingine wajenge garden nzur pamoja na barabara za Lami km hata 10
 
Wanasubiri wawekezaji, sijui walishasikia wapi kwamba wao waache watu wajenge hovyo then watakuja wawekezaji kupanga baadae
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Huu mrad wa green city kwa majiji ya mwanza kama upo serious Sana jamaa watatoa euro milion 75 kwa ajili ya majiji 3 mwanza,tanga na pemba lengo ni kuboresha miundombinu pamoja na masoko sasa sijajua kwa exchange rate euro 75m ni sawa na bn ngp
Euro milion 75 ni kama bilion 216, zitagaiwa kwa majiji matatu ikiwepo mwanza kila jiji litapata bilion 72.
 
Tampere park ndio habari ya mji, kisha wapange mji wa mabatini ata kwa kujenga magorofa makubwa matano kwa bilioni 20 then pesa zitakazobaki, wapige barabara za kuunganisha kila kata.
Ushaambiwa ni mradi wa green ... project zake ziende kwenye sekta ya mazingira,,,,maybe hyo parks saw.pamoja na uboreshaji fukwe
 
Anayejua hii shell ya fresters ipo maeneo gani hapo mwanza ,anitajie pliz
 
Ushaambiwa ni mradi wa green ... project zake ziende kwenye sekta ya mazingira,,,,maybe hyo parks saw.pamoja na uboreshaji fukwe
Wajenge hotel za nyota tano maeneo ya fukwe kama kule bwiru na igombe.
 
Wajenge hotel za nyota tano maeneo ya fukwe kama kule bwiru na igombe.
Sasa hotel ,,,sio environment friendly project na ndio maana hata tilapia na malaika ziliwahi pata mgogoro wa kuwa demolished na Sheria ya mazingira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ