Inatakiwa hivyo, daraja likikamilika kabla ya barabara ujenzi pia wa barabara utakuwa mgumu na wa gharama sana. Ongezeko la magari litakuwa kubwa. Inawezekana hata njia mpya za Mabasi zikaanzisha, Bariadi - Geita, Bariadi -Bukoba, Shinyanga - Geita, Bado gari za mizigo. Mombasa-Kigali/ Congo