Mwanza City: The Photo Gallery

Hata hizi stesheni kuwa nzuri ni sababu ya kina Kadogosa na yule jamaa anaitwa masanja, hivi hivi tungepigwa stesheni za ajabu na treni ingekomea Fela
 
NHC , sijawahi ikubali kabisa ,,,sijui kwanini project zao sizielewi ,,walikuwa na mradi wa vijumba vile vyenye rangi ya choma ....
NSSF ndio Huwa wana project Bomba sana
Hii ni NHC ulishawahi sikia hata funnunu tu wanataka kujenga satellite city/town mwanza?
 
Nilitaka kulisema hili kwamba hapo kwenye viaduct jiji wapige Garden kali, na pia watenge hata bilioni moja wawalipe wale watu wa pale Mlimani au wawajengee maghorofa hapo chini watolewe angalau huu upande unaotizama ziwa kisha wapande miti kama kwa machemba, yaani kutapendeza sana.

Kuanzia Ryan's Bay kuja mwanza south wangesafisha hilo eneo ikawa beach nzuri tu
 
Nasikia mabula stanslaus kapeleka proposal kwa pm amfikishie mh Raisi pale nyegez stand kwny soko panatakiwa soko la kisasa la wachuuzi
 
Acha Kuwaza unavyowaza wewe, kwa nini unaita kichekesho
 
Imagine Sunk Fallacy anakuwa Raisi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Huyu mkuda angevunja daraja la busisi na akazuia uchumi wa Mwanza kwa jitihada kubwa, lakini watu kama yeye wenye chuki na mwanza wapo wengi tu ndani ya serikali ya Tanzania
 
Hii ni NHC ulishawahi sikia hata funnunu tu wanataka kujenga satellite city/town mwanza?
Mwaka 2014 kurudi nyuma .... kulikuwa na mpango wa kujenga satellite town .mbili ilikuwepo luchelele na igoma ... mipango iliyeyuka ghafla..ila waliopanga ni MCC sio NHC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ