Airport naona waziri kasema tathimin inafanyika waondokeChuki na mwanza imekuja baada ya magu kuwa Raisi watu walifikir anaipendelea mwanza kitu ambacho sicho issue ile ya bomoabomoa ya watu wa Karibu na airport ya mwanza magu alivyokataa wakat huohuo maeneo mengine kama kimara yanabomolewa kitu kingine ni ile issue ya machinga kuondolewa ondolewa mwanza had magu akaitisha kikao cha makamu wa Raisi na viongozi wengine machinga wasifukuzwe ni bora wauvunje uwanja wa nyamagana kuwa ya wamachinga
Amesema lini hata ile barabara ya igombe kupitia airport itafungwaAirport naona waziri kasema tathimin inafanyika waondoke
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa ujumla maendeleo yanahusisha wivu kwa sehemu kubwa,Wewe chukulia maendeleo yako binafsi ukishaanza jupiga hatua watu uliokuwa nao usitegemee watakuunga mkoano.Chuki na mwanza imekuja baada ya magu kuwa Raisi watu walifikir anaipendelea mwanza kitu ambacho sicho issue ile ya bomoabomoa ya watu wa Karibu na airport ya mwanza magu alivyokataa wakat huohuo maeneo mengine kama kimara yanabomolewa kitu kingine ni ile issue ya machinga kuondolewa ondolewa mwanza had magu akaitisha kikao cha makamu wa Raisi na viongozi wengine machinga wasifukuzwe ni bora wauvunje uwanja wa nyamagana kuwa ya wamachinga
Amesema lini hata ile barabara ya igombe kupitia airport itafungwa
Kama haki itatendeka hakuna tatizo ndo maendeleo yenyewe hayo.Amesema lini hata ile barabara ya igombe kupitia airport itafungwa
Hakika mkuu,Wanamwanza ni watu wachapakazi na hiyo ni haki yao maana mchango wao katika keki ya taifa hili ni mkubwa sana.Bila magufuli kuwa Raisi tungeendelea kuwa na buzuruga na nyegezi ya zaman meli ya mv mwanza isingekuwepo wala kigongo busisi kubwa zaid reli ya sgr isingefika mwanza badala yake ingefika tabora na kuelekea kigoma hata hvy Mwanza kwa ilipofikia usipoyanywa utayaoga ndo influence ya Kanda ya ziwa ukiharibu hapo sumu inatembea maeneo yote
Barabara ya Nyerere ndio inakuwa sana ...na yenyew haifati barabara inaingia Kwa ndani zaidi ,,angalia igoma kuelekea kishiri, nyakato kuelekea kakebe ,igoma kuelekea kakebe,the same Kwa nyamhongolo na kisesaUpande wa airport wanajivunia gana Hadi pasiansi wakat kenyata kuanzia nyegezi kona mpk buhongwa ukipita night unasema huku ndo penyewe na ngoja ile mkuyuni iishe reli ya sgr mkuyuni itabadilika sana
Bila shaka kadri miaka inavyoenda chuo kitakuja tu, mfano DIT campus ya Mwanza baada ya maboresho lazima wataipandisha hadhi na kuwa chuo kamili kama ilivo DIT,ATC nk.Yan tunaletewa vyuo vya mabranch hv ni haki kweli Kanda yenye asilimia 30 ya population kukosa chuo
Hakuna kitu kama hicho kaka Kadogosa hawezi kukubali mzee hahahaDesign ya station terminal ni nzuri sana lkn kwakuwa ni mwanza itachakachuliwa
Hawa NHC nahisi mkurugenzi wao ndio the sunk.cost fallacy.Kwa ujumla Mwanza hapo ilipo ilishacheleweshwa sana mkuu, mfano kama Mwanza tokea mialka ya 70 ingekuwa na chuo kikuu kikubwa kama UDOM isinge kuwa tofauti na Dar, Pia unavoona watu walivyo na chuki na Mwanza mitandaoni pia ujue kuna watu hata kwenye mashirika kama NHC wanachuki sana na Mwanza ndo maana kila leo kuleta Mwanza miradi isiyo na kichwa wala miguu.
NHC , sijawahi ikubali kabisa ,,,sijui kwanini project zao sizielewi ,,walikuwa na mradi wa vijumba vile vyenye rangi ya choma ....Hawa NHC nahisi mkurugenzi wao ndio the sunk.cost fallacy.
Hivi kwa nini mlipaita password huko? ๐คฃHahahah mi napatikana Mkolani maeneo ya pasword mkuu.
Ndio maana huwa nashangaa sana kuona mtu wa mwanza au kanda ya ziwa anaiga watu wengine kumchukia Magufuli.Kwa ujumla Mwanza hapo ilipo ilishacheleweshwa sana mkuu, mfano kama Mwanza tokea mialka ya 70 ingekuwa na chuo kikuu kikubwa kama UDOM isinge kuwa tofauti na Dar, Pia unavoona watu walivyo na chuki na Mwanza mitandaoni pia ujue kuna watu hata kwenye mashirika kama NHC wanachuki sana na Mwanza ndo maana kila leo kuleta Mwanza miradi isiyo na kichwa wala miguu.
Hizo propaganda tu, Mwanza inachukiwa kabla ya Magu.Chuki na mwanza imekuja baada ya magu kuwa Raisi watu walifikir anaipendelea mwanza kitu ambacho sicho issue ile ya bomoabomoa ya watu wa Karibu na airport ya mwanza magu alivyokataa wakat huohuo maeneo mengine kama kimara yanabomolewa kitu kingine ni ile issue ya machinga kuondolewa ondolewa mwanza had magu akaitisha kikao cha makamu wa Raisi na viongozi wengine machinga wasifukuzwe ni bora wauvunje uwanja wa nyamagana kuwa ya wamachinga