Pesa ni ile ile ipo fixed trilion 3+ sio mchezo mkuu kwa 341km, yule mturuki hakuwa na station bora lakin mchina atajenga station nzuri kama michoro inavyoonesha๐๐๐๐
Yes, patawaka sana na lile Scraper la NSSF ndio usiseme, watabakia TEMESA na ofisi zao chakavu. Wasiwasi wangu ni kukosekana eneo la parking kwa ajili ya Daladala na Tax/ Bajaj. Najua traini huwa inatema kijiji. Na lile eneo lilivyokaa kistaarabu.
Yes, patawaka sana na lile Scraper la NSSF ndio usiseme, watabakia TEMESA na ofisi zao chakavu. Wasiwasi wangu ni kukosekana eneo la parking kwa ajili ya Daladala na Tax/ Bajaj. Najua traini huwa inatema kijiji. Na lile eneo lilivyokaa kistaarabu.
Hadi nimewaza app iboreshe ili mwanzilishi wa Uzi aweze kufuta/kuzuia baadhi ya watu waiscomment au kuuona uzi kabisa....
Hizo habari za sijui Arusha hivi mala vile kwenye huu uzi ni upuuzi tu...
Kaka hayo aliyoongea ni mawazo yake tu, daraja la juu ni package ya kwenye upanuzi wa barabara, sasa atawekaje jiwe la msingi wakati barabara haijaanza kujengwa?
Kaka hayo aliyoongea ni mawazo yake tu, daraja la juu ni package ya kwenye upanuzi wa barabara, sasa atawekaje jiwe la msingi wakati barabara haijaanza kujengwa?
hapo na mimi nilishangaa ilo daraja la juu si ndio sgr ambayo tayari alishaizindua, kama anakuja kwaajili ya uzinduzi na uwekaji wa jiwe la msingi wa upanuzi wa barabara ya kenyatta road itakuwa ni jambo jema sana.
hapo na mimi nilishangaa ilo daraja la juu si ndio sgr ambayo tayari alishaizindua, kama anakuja kwaajili ya uzinduzi na uwekaji wa jiwe la msingi wa upanuzi wa barabara ya kenyatta road itakuwa ni jambo jema sana.