Mwanza City: The Photo Gallery

Nimeona bango la mkandarasi anaejenga barabara za kuingia na kutoka stand ya nyegezi anajina gumu anatoka Bunda 😄😄😄😄
 
Umeni-pre empty kaka, wazo zuri sana
 
Hivi kwann Songoro marine wasijenge Headquarters yao ata ya 20f
 
Nimeangalia vizuri barabara ya Kenyatta kwenye hii video.
Tanroad naona wamekariri kwamba njia nne lazima kuwe na tuta katikati.
Sehemu finyu njia nne hutenganishwa na msitari mnene hapo kati.
Kwa ninavyoona njia nne inawezekana kabisa kuanzia samaki round about.

Kuanzia stendi ya Igombe njia ni pana wala sioni sehemu ya Kubomoa.
 
Hii station ya Mwanza nimeipenda ingawa sijaona kwa ndani itakuwaje. but najua Wachina hawata tuangusha, kwakua so far huku nje tayari wameweka sawa "who is who" kwa EAC na kwa China in terms of relations. Wanatuheshimu sana.

Hivyo nilienda kuangusha tofali kazaa huko kwa Nyang'au wakubwa twitter!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…