Huwezi kuongelea mwanza ukapatoa kwenu misungwi......mbona daraja la JPM Kila siku tunalisifia humu ,, wakati halipo jijj la mwanza,,,,,,,,,.......maji na umeme ni muhimu sana ,......huko nyakagwe Kwa Kina intelligent Hamna maji Wala umeme
Huwezi kuongelea mwanza ukapatoa kwenu misungwi......mbona daraja la JPM Kila siku tunalisifia humu ,, wakati halipo jijj la mwanza,,,,,,,,,.......maji na umeme ni muhimu sana ,......huko nyakagwe Kwa Kina intelligent Hamna maji Wala umeme
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
Itabidi nimpaki sehemu sehemu then nifanye yangu coz hiyo hotel ya nyota saba ni mapinduzi makubwa ya kihotel hapa Mwanza, hiyo hotel itakuwa na undugu wa kufanana na malaika beach resort.๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ ๐