Mwanza City: The Photo Gallery

bora majaliwa aje labda baadhi ya vitu vitafichuka kama la uwanja wa ndege
 
Tanzania tunajenga barabara Hadi tatizo Liwe kubwa ... tunajenga Kwa sababu ya jam...wenzetu wanajenga barabara Kwa ajili ya kurahisisha mfumo wa usafiri ndani ya mji .......tunapoomba njia sita lengo ni kuondoa kEro zinazoweza kutokea njiani mfano msafara wa viongozi,gari za dharula ,na mabasi ya abiria......hatuombi Kwa sababu ya jam ...isitoshe miji ya kisasa ishaacha kuwa na mono carriage...mingi Ina dual carriage,njia sita na njia nane ili kutengeneza space na mfumo salama wa usafiri
 
Na Premier hawezi kuhaidi miradi mipya zaidi ya kuhakikisha iliyopo inafanyika kwa wakati, tusitegemee ahadi ya miradi mpya zaidi ya hii iliyopo mezani
 
Nyerere road ni bomu na soon litalipuka ... hyo barabara inapokea ruti nyingi za daladala kuliko barabara zote mwanza,na idadi kubwa ya watu wenye magari wanaishi hyo road ....
 
Na Premier hawezi kuhaidi mradi mipya zaidi ya kuhakikisha iliyopo inafanyika kwa wakati, tusitegemee ahadi ya miradi mpya zaidi ya hii iliyopo mezani
Premier sio mwanasiasa
 
Kuna kiwanja changu kipo mwanza mkolani lelini pale nakiuza kama unahitaji nicheki dm yangu ukapaone
Kipo barabarani kabisa
 
Mbona hapelekwi kuangalia Airport?
 
Leo mkuu wa wilaya ya nyamagana na kamati yake walikuwa stand ya nyegezi Moja Kati ya vitu alivyosema ni kuwa pale magari yanaposimama kama unaenda mjin wanapaita kituo cha stand ya zaman watajenga stand ya daladala so wale wenye vibanda wameambiwa wasogeze vibanda vyao pia Sasa hv jamaa pale stand wanapiga kaz sana had uck huu wazur mkuu akija akute mambo yapo sawa
 
Je umepata fununu zozote kuhusu ufunguzi wa stendi ya nyegezi?
 
Nyerere road ni bomu na soon litalipuka ... hyo barabara inapokea ruti nyingi za daladala kuliko barabara zote mwanza,na idadi kubwa ya watu wenye magari wanaishi hyo road ....
Hivi ule mpango wa kuupanua umefikia wapi au ndio mambo ya siasa?
 
Bandari mkuu hayo magari au bidhaa nyingine mnayoagiza kupitia bandari ya dar, TRA wanachukua chao japo hizo bidhaa au magari ni ya watu wa mikoani, hapo Mapato halisi ya Dar(actual) utakuta ni 1 trilion, bandari ni kila kitu mkuu, kila bidhaa unayoagiza mapato ya tra yanakatiwa Dar.
 
Hii isikupe mawazo mkuu.
Ni hatari sana Kwa nchi kucentralize uchumi wake kwenye eneo Moja ......,,,,, ikitokea la kutokea dar kukatokea machafuko ,,,,nchi itayumba pakubwa sana ...tuchukulie mfano nchi za wenzetu mapato yako diversified MAENEO tofauti tofauti ,.mfano south Africa wamediversfy mapato Yao kwenye majiji ya Durban,johansburg, Capetown,na port Elizabeth...hata ikitokea johansburg imetekwa serikali inaweza kuendesha nchi tokea Capetown na mambo yakaenda
 
Nilishasema ndio maana hii nchi ina uchumi hafifu kwasababu ya Dar.
 
Wanatakiwa wakiamua kujenga stendi wajenge na hizo frame za maduka kuliko kuacha watu wsjijengee kila mtu kwa style yake.
 
Tiba ni serikali za majimbo, huu ujinga wa kuamini kila kitu lazima kiwepo dar utaisha la sivyo mapato ya sehemu nyingine yataenda Dar kama ilivyo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…